babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,326
Mahela ndo staili yake katika kuripoti,,,,kila ripota anastaili yake rejea emmanuel buhohela,,spencer lameck joji maratu,,steven chuwa wakati huo....ni hayo tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah Jf burudani.
Huku tunapunguza stress mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah Jf burudani.
Jamaa ana mikogo sana...Taarifa ya habari itv naikubali sana kwa sababu wanajitahidi kutupatia taarifa kila kona ya nchi na kwa ufafanuzi mzuri kuliko vituo vingine hapa nchini.
Ila kuna ripota, sam mahela ananiboa sana anaporipoti... Mfano leo alikuwa anaripoti bomoa bomoa ya KIVULE MAGOLE kwa mbwembwe ni kama anafanya dhihaka kwa wahanga.
Sam angalia sehemu za kufanya mbwembwe bana......
Mimi ñimejikita Azam two
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Clouds Tv mkuu si utamkuta mungu wa dar..bora tu ubaki huko huko.ITV
mi namuelewa sana, akijitambulisha tu nasaidiana nae tehe tehe teheGeeeeoooorgeeeeeeee maraaaaaatooooooo wa aiiiii tiiiiii viiiiii.... Vipi huyo nae.. Unamuelewa
Bora ya mjinga akipata elimu huelimika kuliko wewe mpumbavu! akili ya mpuuzi ni majungu majungu kama yako,nafikiri huwa analenga wajinga kama wewe. umewahi sikia watangazaji waBBC au CNN wakitangaza kwa sauti ya mzaha?
But he is creative,iyo professionalism haimtofautishi mtu na kumpa uniqueness ambayo mtu mwingine hana, habari zenyewe ndo hizi hizi za hapa hapa mwacheni ajigambe atambe ndio muda wake huuYaani hayuko professional kabisa
Mimi niliona hilo nilijiuliza kwanini amemaliza kuripoti kwa mbwembwe vile na wakati ile ni taarifa ya huzuni sio taarifa ya burudani. Lakini hiyo ina akisi jinsi moyo wa mtu ulivyo, hata kama swala hilo halikumgusa moyoni mwake basi ajitahidi hata ku pretend. Yaani anajitambulisha huku analeta utani wakati watu wa kila aina hadi waliopatwa na hayo matatizo nao wanaangalia taarifa ya habari.Taarifa ya habari itv naikubali sana kwa sababu wanajitahidi kutupatia taarifa kila kona ya nchi na kwa ufafanuzi mzuri kuliko vituo vingine hapa nchini.
Ila kuna ripota, sam mahela ananiboa sana anaporipoti... Mfano leo alikuwa anaripoti bomoa bomoa ya KIVULE MAGOLE kwa mbwembwe ni kama anafanya dhihaka kwa wahanga.
Sam angalia sehemu za kufanya mbwembwe bana......
MhhhhhhmUmefanya la maana, hebu kizazi cha walalamikaji mpungue sasa
tumuogope Mungu wanduguKapiga/Mahela.....wali nazi.
Hapa ndio shida tupu!Geeeeoooorgeeeeeeee maraaaaaatooooooo wa aiiiii tiiiiii viiiiii.... Vipi huyo nae.. Unamuelewa