Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
KEDI pia amefariki jamani kama mna habari, aligongwa na gari jana asubuhi !
Sasa mtu unaweza kuanza kutoa pole kumbe aliyekufa ni samaki aitwaye Kiligiti. Sasa siyo vizuri kuassume kuwa kila mtu anamjua Kiligiti.. vyovyote vile na miye natoa pole.
KEDI pia amefariki jamani kama mna habari, aligongwa na gari jana asubuhi !
Kedi ndio nani au ndio week end
Mwaka huu tutaona na kusikia mengi..... Haya assuming aliekufa ni mwanadamu nami natoa pole yangu kwa wafiwa
NI kitu gani hicho? yawezekana mnatoa pole kwa walioshindwa kula rushwa, mimi siko upande wowote hadi nijue kuna nini ama hicho ni kitu gani.
KEDI ni jina la kituruki linalomaanisha paka, jana nipo kwenye highway nikaona paka kagongwa ! samahanini kwa usumbufu na maneno mbofu mbofu !