Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,019
Watu 50 labda zaidi wamefariki. Miundo mbinu haswa ile ya familia masikini imeharibika vibaya mno. Majeruhi wengi wapo hospitalini.
Nyakati kama hizi Sadaka yako inaweza kubadilisha mustakabali wa maisha yako. Sadaka yako inaweza tumika kuwapa faraja masikini walioathirika na naamini Mungu hatokuacha 2024 inayokuja.
Achana na akaunti za michango kama unahofia ubadhilifu, unaweza ifikia familia direct hata na gunia la nafaka yoyote ile.
Muwe na siku njema, poleni Wanamanyara.
Nyakati kama hizi Sadaka yako inaweza kubadilisha mustakabali wa maisha yako. Sadaka yako inaweza tumika kuwapa faraja masikini walioathirika na naamini Mungu hatokuacha 2024 inayokuja.
Achana na akaunti za michango kama unahofia ubadhilifu, unaweza ifikia familia direct hata na gunia la nafaka yoyote ile.
Muwe na siku njema, poleni Wanamanyara.