Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,469
Napiga kinywaji ndio,Altar Wine,to sweeten my food.
Una maana adui wa Taifa ni adui wa Rais. Adui wa Rais ni adui wa Rais.
Napiga kinywaji ndio,Altar Wine,to sweeten my food.
Hujaeleweka vizuri mkuu hebu nyoosha maelezo yako.
heeh,heeh ndo legacy ya Mwalimu hii kweli,
Ridhwani ni Jembe
Jembe? Jembe la mkono??
Adui wa Rais ni adui wa Taifa. Hivyo maadui wa taifa wanashughulikiwa na vyombo husika kwa mujibu wa sheria zilizopo