huyu dogo ni mmoja wa wabunge mbumbumbu kabisa waliomo mjengoni dodoma. nadhani baada ya marehemu komba, yeye ndiye anayefuatia kwa ukilaza. ana akili za kizee kabisa...hata kingunge au profesa maji marefu (ambaye hakwenda shule) wanamzidi akili kwa mabali sana.
View attachment 233505
Adui wa Rais ni adui wa Taifa. Hivyo maadui wa taifa wanashughulikiwa na vyombo husika kwa mujibu wa sheria zilizopo
Alisema, "Never, ever, Rais hawezi kutoka Kaskazini!!!"Ridhwani ni Jembe