Kojo Dowido
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 354
- 111
Wewe ni hoperess. Mimi ni kiongozi wa familia. Kwa nini nisielezwe kama Lowassa alikuwa adui mkubwa wa Mwalimu.
Mh familia za Kiafrika hizi ziache kama zilivyo. Waweza kuta kuna kiongozi wa familia na ndondocha wa familia. Hapo hapo katika famili moja.