Sikuamini hichi nilichokisoma, kwa hiyo anamaana hayo majeshi na vyombo vya usalama viko kwa ajili ya personal interest za baba yake wakati vinalipiwa na kodi zetu? hivi hata hizo pesa wanazoiba haziwasaidii kuwapeleka shule walau wakawa polished kidogo maana this is typical kilaza, his own father must be so dull angekua an average person angeshamkanya mtoto wake na hizi unnecessary embarrassment. Sasa si mnaona eeh? zile max za prof Juma zilizombeba hazijamsaidia, he is just not an elite material wanalazimisha na vinadunda, ndio maana mwenzao Lowasa kasema haongei na wapiga debe muda wao umekwisha, Its interesting very dull empty kabisa, pole kwa wazazi wake, by the way msisahau huyu ni wakili ambaye hajawahi kusikiliza kesi yoyote.