luchunga2002
Member
- Jan 22, 2011
- 31
- 5
Wabongo kwa majungu mna PHD! kila mzawa anayeanzisha biashara ya maana ni ya Rizwan; mkiona mijengo ya maana iliyojengwa na baba masogange mnasema ya Rizwan. mwacheni mtoto wa watu alaleeee
alale na nami wakati anatafuna nchi yetu isivyo hlali...