tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,895
- 19,772
Nipo Arusha pia mkuu...usisahau pia Lake Oil...! Na lile jengo lisiloisha ktk ile barabara ya Makongoro...mjini kati Arusha! Within Arusha CBD
Mkuu hilo jengo arusha ni lipi
Nipo Arusha pia mkuu...usisahau pia Lake Oil...! Na lile jengo lisiloisha ktk ile barabara ya Makongoro...mjini kati Arusha! Within Arusha CBD
Mkuu hilo jengo arusha ni lipi
Hata ukijua au usijue, iwe yake au sio yake, analipa kodi au halipi kodi mimi nakuambia UMASIKINI wako na wazee wako hauta kutoka.alopewa kapewa.
Pita along makongoro road ukiona kuna jengo refu kuliko yote linajengwa jua ndio hilo hilo la Ridhiwani...inasemekana itatumika either kwa matumizi ya ofisi or hotel au both...in general ni jengo la Kibiashara...!
Mkuu hapo umekosea hilo jengo la serikali liko chini y wizara y magufuli yako mawili kwa arusha lingine liko nyuma y uhamiaji ni mali ya wakala wa majengo y serikali tba.kusema ya rizwan n ujinga hata kibao cha ujenzi kinasomeka vizuri kiko hapo
Achana na hayo majengo ya TBA, kila mtu anayajua, kuna lingine mtaa wa pili pale!
Wapi au unasemea bank ya aman jengo la hugo plaza
Nipm nikuelekeze vizuri...!
Achana na hayo majengo ya TBA, kila mtu anayajua, kuna lingine mtaa wa pili pale!
Kijana mwenzetu, mtanashati na mzalendo wa nchi hii na mwanasheria na wakili msomi wa mahakama kuu Nd. Ridhiwani kikwete ametajwa kumiliki kampuni kubwa iitwayo LUGUMI, kampuni hii ipo maeneo ya hapa POSTA mpya jengo la ATC HOUSE, jengo hili ni mali ya watanzania wote na ndo ofisi kuu ya shirika la Ndege za serikali.
Kampuni hii inajihusisha pamoja na mambo mengine na maswala ya Unyunyiziaji wa dawa za kuulia wadudu yaani Furmigation katika ofisi mbalimbali za umma na binafsi hapa nchini.
Katika kuficha ili asifahamike, kijana huyu amemuweka mtu pale ili awe msimamizi tu, ili yeye awe anatafuta tender kupitia kofia ileeee.
Swali ni je, analipa kodi serikalini? kwa sababu wana magari mengi sana pale, sasa je alilipa kodi ya serikali wakati anayaingiza? na je, Shirika la Ndege la ATC linapata kodi yake?
Maelekezo tu hadi pm?
Wewe ndo ufanye utafiti wa kutosha, fika pale ATC HOUSE GHOROFA YA PILI Uanze utafiti wako acha kukurupuka, Tumezoea kuambiwa kuwa ohhh ni ya msukuma mara mhindi bado mchina, lakini yote 9 kumi, ni kuwa kodi analipa TRA and PANGO pale ATC?
Hata ukijua au usijue, iwe yake au sio yake, analipa kodi au halipi kodi mimi nakuambia UMASIKINI wako na wazee wako hauta kutoka.alopewa kapewa.
Kijana mwenzetu, mtanashati na mzalendo wa nchi hii na mwanasheria na wakili msomi wa mahakama kuu Nd. Ridhiwani kikwete ametajwa kumiliki kampuni kubwa iitwayo LUGUMI, kampuni hii ipo maeneo ya hapa POSTA mpya jengo la ATC HOUSE, jengo hili ni mali ya watanzania wote na ndo ofisi kuu ya shirika la Ndege za serikali.
Kampuni hii inajihusisha pamoja na mambo mengine na maswala ya Unyunyiziaji wa dawa za kuulia wadudu yaani Furmigation katika ofisi mbalimbali za umma na binafsi hapa nchini.
Katika kuficha ili asifahamike, kijana huyu amemuweka mtu pale ili awe msimamizi tu, ili yeye awe anatafuta tender kupitia kofia ileeee.
Swali ni je, analipa kodi serikalini? kwa sababu wana magari mengi sana pale, sasa je alilipa kodi ya serikali wakati anayaingiza? na je, Shirika la Ndege la ATC linapata kodi yake?