Ridhiwani achafua hali ya hewa Times FM

Ridhiwani achafua hali ya hewa Times FM

Yale ni maoni yake kama mtanzania, ana haki ya msingi kufanya hivyo

Maoni gani haya mkuu ambayo yanafaa kupewa kipao mbele kama unavyolipuka? Hiki ndicho kiwango cha mawazo ya viongozi wetu? Unataka kuniambia hata kama ni upuuzi, mtu azungumze tu kisa ana uhuru wa kutoa mawazo?!
Mkuu hapa unakosea, hata kama ni mapenzi, punguza. Au ndio ile methali "love is blind"?!
 
Kukukoroga kwa kusema ukweli.ngoja nikueleze warioba ni mtu mwenye kisasi dhiidi ya mwalimu nyerere kwa sababu mwalimu are liilaumu serikali ya mwinyi kuwa imejaa rushwa katika wizara mbalimbali.wakati huo warioba alikuwa waziri mkuu.kwa tuhuma hizi mwinyi aldhamiria kumuondo warioba madarakani.kabla ya kuchukua hatua hizo warioba alipata fununu kutoka kwa akina butiku hivyo aliamua kujiuzuru kwa kisingizio cha kuwajibika.huo ndo ukweli kuhusu warioba si lolote si chochote
 
Mzee zipo topic hapa pia ukisearch utapata list ya ndugu wenye uongozi CDM.
Kwann unanukuu kitu kimazingira ya kujiaminisha kitu kisicho na ukweli?
Marekani imeongozwa na Bush wangapi?
Lakin wale wa viti maalumu ambao mmoja ni mke wa Slaa alokamatwa kule kalenga vipi hujamuona?
Mkya ambae ni hawara wa Mbowe vipi naye hujamuona?
Dada yake Tundu Lissu vipi nayeye?
Sasa njoo uangalie uhusiano uliopo baina ya Muasisi wa chama na Mwenyekiti wa Chadema!
Sasa lipi jipya ambalo CCM wamefanya?

Hii tabia ya kuacha hoja ya msingi na kuanza kushambulia watu kwa sababu tu umebobea kwenye kusema si tabia ya kiungwana hata kidogo, na nafikiri akili ikikukaa sawa kuna kiwango kidogo unaweza kuona hatia. Sema utakavyo, na ikiwezekana chukua hata nakala ya matamshi yako mabaya umforwadie Ridhiwan ili akiisha pata Ubunge akuajiri uwe mwanapropanda wake!
 
Hayo ni maoni yake jamani sio lazima maoni yake laazima yafafanane na ya kwako au ya kwangu.

Alichotumia ni uhuru wake kisharia wa kutoa maoni.

Tusimbeze jamani.
 
Kukukoroga kwa kusema ukweli.ngoja nikueleze warioba ni mtu mwenye kisasi dhiidi ya mwalimu nyerere kwa sababu mwalimu are liilaumu serikali ya mwinyi kuwa imejaa rushwa katika wizara mbalimbali.wakati huo warioba alikuwa waziri mkuu.kwa tuhuma hizi mwinyi aldhamiria kumuondo warioba madarakani.kabla ya kuchukua hatua hizo warioba alipata fununu kutoka kwa akina butiku hivyo aliamua kujiuzuru kwa kisingizio cha kuwajibika.huo ndo ukweli kuhusu warioba si lolote si chochote
Hivi ni nani alimteua Jaji Warioba kuongoza tume ya katiba mpya!? (au alijiteua)
Na je, alikuwa peke yake kwenye hiyo tume!? (hamfikirii juu ya profiles zilizotukuka za wajumbe wengine na hakuna aliyemkana Mzee Warioba hadi sasa)
Je, terms of reference za kazi za tume alizitunga yeye na mke wake (samahani kwa neno hili) chumbani!?

Japo hatutaki kutafakari lakini ukifikiria hata juu ya haya maswali rahisi ndio utajua kuwa kila wanaomshambulia huyu mzee hawana hoja ya msingi mbali na kuogopa mabadiliko yatakayowanufaisha wengi (labda!) na wengi wao ni viazi vitamu na nazi!

 
Yale ni maoni yake kama mtanzania, ana haki ya msingi kufanya hivyo

Ni maoni yake ndio lakini kumtakia mtu kifo ni upuuzi.Mungu alivyo wa ajabu anaweza kutangulia yeye akamuacha mzee Warioba.Amesahau alivyokoswakoswa kitanzi China?
 
Nilikuwa namsikiliza Riziwani mtoto wa Jk akiongea Times Fm leo hii… dah! Hata kama ni mtoto wa Mkuu wa Kaya ila ana dharau,

Namnukuu "Kuna watu ambao wameshamaliza muda wao wa kuishi,muda wao wa kucheka hapa duniani lakini ndio wa kwanza kushadadia Serikali tatu, namshangaa Warioba anavyopayuka kuwa anataka Serikali tatu, Kila siku anafanya interview kwenye redio tv na magazeti,ameshikilia maoni ya watu kama yake binafsi. Mbona wakati akiwa kijana na akiwa Waziri hakuwahi kudai Serikali tatu ila alikuwa anashikilia serikali mbili? Iweje leo anapayuka kudai serikali tatu?

Ila kwa sentensi hiyo kanikoroga akili! Kumbe naye anataka Serikali mbili,Warioba kutetea hoja za wananchi imekuwa nongwa sana kwa watu wa CCM?

Ridhiwani umeniboa!

Ulitegemea angetoa maoni tofauti na baba ake na chama chake....hiyo kawaida..
 
Nuwekundi naambe kura, keambang'u iyoe.
Yani we Mamndenyi unashabikia kijana anayetarajiwa kuwa Mbunge anavyotukana wazee, tena waliolitumikia Taifa hili. Sasa sisi wazee wengine tulio hohehae atatuambia nini wakati tukimtuma akawakilishe kero zetu, ama Chalinze anatarajia kuwawakiliasha vijana tu?
 
Hii tabia ya kuacha hoja ya msingi na kuanza kushambulia watu kwa sababu tu umebobea kwenye kusema si tabia ya kiungwana hata kidogo, na nafikiri akili ikikukaa sawa kuna kiwango kidogo unaweza kuona hatia. Sema utakavyo, na ikiwezekana chukua hata nakala ya matamshi yako mabaya umforwadie Ridhiwan ili akiisha pata Ubunge akuajiri uwe mwanapropanda wake!

Mbona ume-panic baada ya kuelezwa ukweli!?

Tulia tuli na uliweke kalio sawa sindano ikuingie!!!
 
NANI RAIS BABA AU MWANA?MAANA WOTE WANASEMEANA KTK UENDESAJI WA NCHI HAKIKA HAIJAWAHI TOKEA! MR BEN ANAANGALiA TU HUO MKOROGO WA BABA NA MWANA!ebu ritz cool down basi! BABA akisema jambo hauna sababu ya kuli~underline,fanya mengine
 
Hivi ni nani alimteua Jaji Warioba kuongoza tume ya katiba mpya!? (au alijiteua)
Na je, alikuwa peke yake kwenye hiyo tume!? (hamfikirii juu ya profiles zilizotukuka za wajumbe wengine na hakuna aliyemkana Mzee Warioba hadi sasa)
Je, terms of reference za kazi za tume alizitunga yeye na mke wake (samahani kwa neno hili) chumbani!?

Japo hatutaki kutafakari lakini ukifikiria hata juu ya haya maswali rahisi ndio utajua kuwa kila wanaomshambulia huyu mzee hawana hoja ya msingi mbali na kuogopa mabadiliko yatakayowanufaisha wengi (labda!) na wengi wao ni viazi vitamu na nazi!
Kwenye hadidu rejea hakuna suala la muundo wa muungano
 
Unataka ku-achieve nini kutoka kwenye jibu langu?

Au na wewe umeanzisha tume yako ya kukusanya maoni kwa ajili ya katiba mpya?

Hapana, nahisi labda hukupata nafasi ya kukutana na tume. Otherwise sioni sababu ya kupinga kilicholetwa na tume.

Mwisho wa siku wananchi wote tutapiga kura kupata mustakabali wa nchi yetu. Wajumbe wa bunge la katiba nao hawafiki 1k. Bado hata maamuzi yao hayataashiria matakwa ya watanzania wote.

Tunajenga nyumba moja hakuna sababu ya kunyang'anyana fito kwa jazba.
 
Leo warioba anasema kwanini serikali haikuwapeleka wajumbe makwao.
 
Watoto wengi wa viongozi wakuu wa Tanzania ni Bogus!Ni Vilaza wa Kutupwa.Huwa sitegemei waongee kitu cha Maana.Type ya kina Ally Karume na Riziwan ilitakiwa ipelekwe China ili wakijikoroga tu,kitanzi halali yao.
 
mwalimu Nyerere alikuwa anaogopwa sana,sina hakika kama alikuwa anaheshimiwa.kama mzee yule angekuwa hai leo maneno yale yale aliyoyatumia Riz1 ninahisi angeweza kumwambia mwalimu mwenyewe.Kwa jinsi mwalimu alivyokuwa mkali Hawa wahehimiwa Warioba,mzee Butiku, mh Salimu na wengine wengi tu AKIWEMO raisi mwenyewe J Kikwete hawakuwa na ubavu wa kuhoji muundo wa muungano,vile vile sisi wananchi hatukuwa na ubavu wa kusema lolote juu ya muungano.Kwa sababu hizo hapo basi nawaomba wanaopinga serikali tatu waelewe kuwa wakati wa kurekebisha makosa ya muungano ni sasa na wananchi ndio wanaosema hivyo,siyo Jaji Warioba. wanaobisha basi watoe ushawishi ili ifanyike kura ya maamuzi (referendum).Yangu machache ni hayo.
 
Mkuu JERYSON, naweza kuona umejitahidi kuandika vizuri na kutoa source ya bandiko lako lakini inaniwia vigumu kuamini kama mdomo wa mtu aliyesoma vyuo vikuu zaidi ya vitatu tena vya kimataifa unaweza kuyatamka haya tena redioni!!!
Na huyu anagombea Ubunge huku akitarajia kupata hata uwaziri muda wowote, sitarajii kama anaweza tamka hivi!!

Mkuu… ukienda Times fm nadhani unaweza kupata sauti yake jinsi alivyoongea hayo… kayatamka kweli! Kasema eti Warioba anapayuka… alikuwa aendelee lakini mtangazaji wa kipindi hicho Fred Fidelis a.k.a Fredwaa akakatisha sauti yake na kusema "ukipewa akili changanya na zako, "
 
Back
Top Bottom