Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
Huyu mtoto lazima aende the Hague, kila mabaya yumo na familia ya makamba. Watanzania huyu mtoto anakuja kufa kifo kibasa mno. Watu wakikusema sana, ujaribu kuwa mwangalifu unakuja kuingia pabaya