Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 751
- 3
Jakaya, Salma, Miradji, Ridhiwan Kikwete = Tanzania sultanate of kikwete
Usimsahau yule Chipukizi sijui ndo anaitwa nani vile
Jakaya, Salma, Miradji, Ridhiwan Kikwete = Tanzania sultanate of kikwete
Usimsahau yule Chipukizi sijui ndo anaitwa nani vile
Washindwe na walegee
kwa muda mrefu sana watanzania walishaupiga vita usultani wa kuzaliwa hata wa kuchaguliwa. Najiuliza huu mshikamano wa familia moja kupigania utawala wa kisiasa hatima yake ni nini?
Ridhiwani na mke wa kikwete Salma, wamekuwa na nguvu kubwa sana ndani ya CCM hata makatibu wa CCM wa mikoa na Wilaya hawakohoi mbele yao. swali la kujiuliza hatima ya taifa letu itakuwaje huko tuendako, kwenye mikono ya hii familia ya Kikwete?
Mwane Rais, Ridhiwani Kikwete, amekuwa msumbufu mkubwa sana hapa Nchini. Akikuchukia basi dunia utaiona chungu. Huyu mtoto anaingilia mambo ya uendeshaji wa nchi kana kwamba yeye ndio rais. Ikulu kwenyewe yeye ni vurugu tupu, haelewani na wafanyakazi wengi; yaani kwa kifupi ni kwamba hana adabu na kitambi chake cha bia. Majuzi tu mitaani akamtukana mshikaji ovyo n kumwambia "unanijua kweli" nasikia pia aliwahi kuvuruga uchaguzi yanga na pia kuwaharibia wanasiasa wengi tu? Dawa ya huyu nyang'au ni nini, kwa maana hata ufisadi nasikia yumo. Nasikia ana nyumba ya 2Billion wakati kazi ndo juzi kaanza, hebu wadau nielewesheni anakopata ujeuri huyu mtoto, kwa maana watu wana usongo naye kweli kweli