Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

Hizi habari za nasikia zikiambatanishwa na redio vifua zinanitia kiwewe, ilikua Kikwete sasa imehamia Ridhwani kisha mama Salma..what's next? I smell bad agendas coming from Hippie-land
 
Wanajf acheni hizo mambo hii nchi imeuzwa kila mwananchi anakiongozi wake alikonunuliwa angalia orodha hii
mwinyi kaondoka madarakani mwanae kawa waziri. Hata ridhiwan atakuwa waziri wa fedha mwaka 2015 wakati atakapompokea kiti hicho januari makamba. Kwa hili mimi siwalaumu hawa viongozi kwa kuwa watanzania waliowengi wanaukubali ukoloni mambo leo, na watoto wa hao vigogo ni watanzania wenzetu,

nenda facult ya economics ujiversity of dar es salaam.
Baba professor wa economics, mwanae mwingine ni lecturer na mwanawe mwingine ni assistant lecturer katika facult hiyohiyo, hii ndio tanzania ni zaidi ya wewe uijuavyo.
 
Kilaza na tafasiri tu kaka bora ana akili za Kuweza kuvaa suruali zinamtosha we na ukipanga wako umekusaidia nini. USIlete manenoya luhanga Anasema yeye ndo Jiniasi akawadharau waliosoma masomo ya Arts wakiitwa Ngwini. Alipostaafu ndo akawajua umihimu wao walimpa mafao hata ya Mwl wa shule ya msiingi afadhali. watu wote sawa.
Nawewe usije kuwa Mkali wakati ulisoma Arts

Hawara yako nini mbona unamtetea mpuuzi
 
Nadhani kwenye red ulikusudia MWANA JF.

Ok tukirudi kwa huyo kijana picha mbaya sana wakwere wanatengeneza na hii inakera wengi

Ina wakera wengi na akina nani? Akina Mkapa, Usalama wa mafisadi na majeshi yote hayalioni hilo? Mbona yanaendelea kuibeba hii familia ili iendelee kutawala nchi? Nafikiri hili jambo linawakera wachache tu na si wote. Kuna watz ambao wanafikiria kupona njaa zao tu na si mstakabali wa nchi.
 
Kwani RIDHWANI ni nani unavyojua wewe au mnachemka taja cheo chake utuambie kama nicha serikali au vipi yaani nyie mkimuona tu mnaanza kufikiri nauli anatumia ya nchi. mwacheni kagame mwenyewe nimeona kampeni anafanya na watoto wake kwani SLAA alikatazwa kufanya kampeni na watoto. Siasa ni ishu ya familia zaidi nakwambia ila kama ridhwan kashiriki serikalini ana cheo na hana sifa kwa kweli Mkwere atakua kachemka. vinginevyo mnamuonea gele

Join Date Wed Nov 2010Posts 26Thanks 0Thanked 0 Times in 0 Posts
Kwa profile kama hiyo bado unahitaji kujifunza jinsi ya kujitetea/kumutetea mtu. Sasa wewe ukimuona Kagame unasema 'Kagame mwenyewe' yaani kwako Kagame ni absolute.

La kwangu ni kwamba haya ya Ridhiwani ni matokeo ya familia inayofanikiwa bila mategemeo.
Baba kawa rais bila mategemeo,
mama kawa 1st lady bila mategemeo,
mtoto kapata digrii bila mategemeo
mtoto anaona sura yake ktk tv bila mategemeo
Mtoto anajadiliwa JF bila mategemeo,
n.k.

Tatizo kubwa ni akili ndogo ya kushindwa kujiuliza kwa nini ninatajwa? mwisho mtu anadhani kumbe nina sifa. Hatabadirika, hata atajwe kwa sifa ya kulawiti munyama wa kufugwa, baadhi (kama huyu) watasema ni wivu.
 
Mimi sikuwai kuona Nyerere akiwa madarakani watoto wake wakijihusisha na Siasa kakita hali tunayoiona kwa Ridhuani. Watoto wa Mzee Mwinyi kama Huseein Mwinyi ambaye ana hulka na busara za kisiasa hakufanya hivyo enzi za baba yake. Watoto wa Mkapa tumewasikia tu kwenye Kiwira tu. Hii ya Ridhuani ni culture mpya kabisa! Tunakoenda Ridhuani hata na Mama Salma wataaumua nani aingie cabinet na nani atoke! Angalau tutamkumbuka JK kwa hilo!!
 
Kwani RIDHWANI ni nani unavyojua wewe au mnachemka taja cheo chake utuambie kama nicha serikali au vipi yaani nyie mkimuona tu mnaanza kufikiri nauli anatumia ya nchi. mwacheni kagame mwenyewe nimeona kampeni anafanya na watoto wake kwani SLAA alikatazwa kufanya kampeni na watoto. Siasa ni ishu ya familia zaidi nakwambia ila kama ridhwan kashiriki serikalini ana cheo na hana sifa kwa kweli Mkwere atakua kachemka. vinginevyo mnamuonea gele

Inaonyesha wazi kabisa KAKUWEKA MJINI
Unachomtetea sioni cause kila mtu anaona upuuzi anaoufanya au tuseme na mengine tunayoyajua kuhusu yeye?
Shut u a mouth to things which u do not no!! Ebooooooooo...
 
Mwalimu Nyerere, Alhaj A.H Mwinyi, Brother ben wote walikua na watoto na wake zao.. lakini hii familia iliyopo pale mjengoni Ferry kwa kweli tulikosea 2005, Mama nae anajiigiza kwenye siasa, Mtoto nae vurugu tupu....mama ni kiraza baba i cant believe kama kweli ni graduate kwa jinsi alinvyo hopeless sasa mtoto unategemea atakuaje? i cant wait to see them out!!! pale ferry mjengoni
 
huo ni wivu mnaionea familia ya KIKWETE, anapenda familia yake mbona nyie shughuli zenu mnahusisha watoto wenu januari hawezi gombea msifikirie hilo. Wakwere ni watu waliopata malezi bora, huwezi linganisha na Makabila mengi yaliyojaa ubinafsi na Tamaa hata mwalimu aliyataja au tukumbushie uelewe. msitupeleke tufikirie mnadhani kuwa ni kweli

Hii ni saiasa na si biashara. Hapa tunazungumza masilahi ya Umma. Na ukizungumzia suala la uendeshaji wa Nchi si suala la Familia ya MH.JK. Hili ni suala ambalo Kiongozi wetu anapaswa kulifanyia kazi. Anahatarisha majaaliwa ya baadaye ya Familia yake kama utawala wa Nchi utabadilika.
 
Mtoto wa JK Ridhwani amekuwa akitajwa katika matukio mbalimbali yasiyopendeza kwa Watanzania.Ametajwa kuvuruga uchaguzi Shinyanga mjini na hiyo aliyotajwa na Dr.Slaa.Maneno anayotoa kwa Dr.Slaa si ya kiungwana kwani Dr. ni mzazi wake.Sasa asiyefunzwa na mamaye huvunzwa na ulimwengu.Katika awamu zote za urais hapo TZ haijawahi kutokea familia kujihusisha na uongozi wa nchi ambayo katiba inaainisha wazi viongozi.TZ inaelekea wapi kwa hali hii?WANA JK NAOMBA MAONI YENU KWANI MIMI NIKO NJIA PANDA.

Huyo Kijana nilishawahi kusema humu ndani kwa JF kuwa Ridhwani anajipalia mkaaa na asifikili UVCCM ndio ita mbeba hata kidogo.

Kwani kujipeleka kipaumbele kwenye Campaign za JK(Baba Yake) asidhani ndio alikuwa anajiwekea mazingila ya 2015 ni kuwa alikuwa anajibomolea hayo mazingila alipaswa kabisa kukaaa mbali na hizi Campaign ili ajijengee mazingila mazuri ya 2015. na sasa ndio kaharibu kabisaa naye anakuwa kama sio mwana sheria hajasoma alama za nyakati alikwenda Nyamagana kumsimika Lawrance Masha wakati masha alikataaa kugombea na likawa shinikizo kutoka IKULU na Ridhwani akaenda mtetea Kura za maoni na Huyo huyo Ridhwani akaenda Mvurugia Shibuda huko Maswa na sasa Shibuda karudi Mjengoni sasa atategemea muda wote huo alikuwa anawavuruga watu wachache kumbe ni wana CCM wengi na wengi wao ni UVCCM unadhani wata mwacha 2015.

Kwingi huko ridhwani aliko pita kaambulia zero
 
BabieWana said:
Kwani RIDHWANI ni nani unavyojua wewe au mnachemka taja cheo chake utuambie kama nicha serikali au vipi yaani nyie mkimuona tu mnaanza kufikiri nauli anatumia ya nchi. mwacheni kagame mwenyewe nimeona kampeni anafanya na watoto wake kwani SLAA alikatazwa kufanya kampeni na watoto. Siasa ni ishu ya familia zaidi nakwambia ila kama ridhwan kashiriki serikalini ana cheo na hana sifa kwa kweli Mkwere atakua kachemka. vinginevyo mnamuonea gele

Ridhwani ni Mjumbe Kamati Kuu ya UVCCM TAIFA,

Na kuna baadhi ya wajumbe wa UVCCM Tifa toka mikoani huwa wanakerwa sana na Ridhwani wakiwa kwenye vikao vyao vya ndani mpaka huwa wana muuliza hoja uliyo toa ni yake au katumwa na JK.

Hizi Njaaa za UVCCM na kuchagua viongozi wao bali tu ni viongozi ni kero sana na hii dhambi ya kuchaguana bila kuangalia malengo muhimu ya chama ni dhambi ambayo Mungu anisamehe iwasurubu mpaka mkija bumburuka mlisha kiona cha mojo.
 
huyu dawa yake ndogo, tunamwekea sumu kwenye K..lazma akamatike

Hapo Umenigusa kwelikweli. Dawa yake ndio hiyo. Kama lilivyo kabila la wakwere ngoma na K ndio maisha hawana projection yoyote. Baba yake akitoka madarakani hatakuwepo tena kwenye system.

Nawaapia huyu yupo pale kwa nguvu ya baba yake tu kwa sababu watu wengi waliopo kwenye system ni watu wa ndio mzee. Wale waonambali kwa mustakabali wa nchi yetu hawapewi nafasi kabsaaaaaa!!!
 
Mwalimu Nyerere, Alhaj A.H Mwinyi, Brother ben wote walikua na watoto na wake zao.. lakini hii familia iliyopo pale mjengoni Ferry kwa kweli tulikosea 2005, Mama nae anajiigiza kwenye siasa, Mtoto nae vurugu tupu....mama ni kiraza baba i cant believe kama kweli ni graduate kwa jinsi alinvyo hopeless sasa mtoto unategemea atakuaje? i cant wait to see them out!!! pale ferry mjengoni

Kwenye Red hapo nadhani watanzania wengi wana juta taaaaa kumweka JK badala ya Dr. Salim A. Salim he was a perfect Candidate President in 2005 for Tanzania.

Ndio Hiyo Dhambi inayo tusurubu sasa kwa wale walio pokea Bahasha Pale Chimwaga 2005 na kumpitisha JK a.k.a WANAMTANDAO na kweli ni WANAMTANDAO si mnajua Mitandao inavyopoteza channel ndio hii sasa Serikali ya JK haikujua yaenda IKULU kufanya nini

 
Akikua atatulia tu utoto unamsumbua, kama angekuwa na akili angeiga strategies za Dk. Hussein Mwinyi anaepigia hesabu urais wa Zanzibar kimya kimya :tape:
 


Ridhwani ni Mjumbe Kamati Kuu ya UVCCM TAIFA,

Na kuna baadhi ya wajumbe wa UVCCM Tifa toka mikoani huwa wanakerwa sana na Ridhwani wakiwa kwenye vikao vyao vya ndani mpaka huwa wana muuliza hoja uliyo toa ni yake au katumwa na JK.

Hizi Njaaa za UVCCM na kuchagua viongozi wao bali tu ni viongozi ni kero sana na hii dhambi ya kuchaguana bila kuangalia malengo muhimu ya chama ni dhambi ambayo Mungu anisamehe iwasurubu mpaka mkija bumburuka mlisha kiona cha mojo.

huko ni kumuogopa kufikiria kuwa hoja akitoa ridhwan ametmwa na mheshimiwa wanakosa kujiamini.
Poa ndio staili mpya ya president mwenye familia makini na wewe jishughulishe
 
HATA KAMA ANAANDALIWA LAKINI SIYO KUJIFANYA NA KUJIHUSISHA MOJAKWAMOJA KWENYE MATUKIO AMBAYO YANAGUSA TAIFA,BABA YAKE AMESHAIHARIBU SANA NCHI HII,NA NDIO MAANA ALIPOULIZWA KWENYE MDAHALO/MAZUNGUMZO AMBAYO MASWALI NA MAJIBU ALIANDAA MWENYEWE ALISHINDWA KUJIBU 'ANATAKA WATZ WAMKUMBUKE KWALIPI'?HAJUI KAMA RAIS KWA SABABU HAKUNA ALICHOFANAY NI USAANII TAFADHAR RIDHIWAN ASITUVURUGE:llama::llama:
 
Back
Top Bottom