Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

USISEME maneno ambayo hauwezi kutekeleza wewe unapenda kufa kweli una ulilofanya zuri au unafikiri kufa ni kuondoka duniani? kuna maisha baada ya hapo. Resource za nchi hatumii RIDHWANI yeye anatumia hela za Chama chao CCM sio masikini kama chadema wakashindwa kuwalipa kina kinana, na ridhwani ni mwana UV CCM mbona mnamyima haki yake. ACheeeeeeeni ubinafsi

join date wedn novmber( jana), huyu ni rizwani hpe, jitambulishe baba ute hoja si kubwata, unaujua ubinafsi wewe? msingeigana kula nchi namna hii,fanyeni kazi acheni kutoa vitisho na kutmia resource za nchi kwa matumbo yenu! mambaladhuli nyie, kinana nae msomali unamhesabia ni mtanzania?
 
huo ni wivu mnaionea familia ya KIKWETE, anapenda familia yake mbona nyie shughuli zenu mnahusisha watoto wenu januari hawezi gombea msifikirie hilo.

Nimekujibu ksentensi yako hiyo...umelinganisha familia ya Rais na Mpiga kura....ndio maana nimekurifaa kwenye resources husika...anayway unaonekana kutoelewa mambo sasa unamwingiza Kinana na UVCCM...ambao sikuwataja....go jump into a lake
 
Huyo dogo ni limbukeni sana. Kwanza babake alimtelekeza siku nyingi sana mpaka alipokuja kuukwaa urais kwa fedha za EPA. Hebu atupishe huko. Mtu mwenyewe kwanza kilaza wa kutupwa.
 
Where is this nation going to, Nyerere alifundisha kuwa na nidhamu na hii inajionyesha hata kwa watoto wake. Jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
:caked:
 
Wanaomtetea nafikiri hawajui wala hawataki kuelewa kinachozungumzwa,nendeni mkadig zaidi huko uvccm mngemjua kama dingi yake asingekuwa presider?au angepata infleunce gani kwa lipi alilonalo?Kama hela anazo walizotuibia,kaajiriwa na waziri wa serikali ya baba yake,magari ananunuliwa na wale wezi na mengi tu fuatlia mambo.
 
Huyu kijana anajitafutia matatizo siku zijazo,na hasa baada ya utawala wa baba yake kwani kwa sasa tayari ameshakuwa na maadui wengi sana!
 
ndo shidaya wa kwere. umwinyi unawasumbua. kazi ya baba ni ya wana familia.
hako katoto kalikuwa kanalia hovyo wakati babake kapita 2005 kura za maoni ndani ya chma. eti leo kanatoa kibezi.
icon8.png
 
Kilaza na tafasiri tu kaka bora ana akili za Kuweza kuvaa suruali zinamtosha we na ukipanga wako umekusaidia nini. USIlete manenoya luhanga Anasema yeye ndo Jiniasi akawadharau waliosoma masomo ya Arts wakiitwa Ngwini. Alipostaafu ndo akawajua umihimu wao walimpa mafao hata ya Mwl wa shule ya msiingi afadhali. watu wote sawa.
Nawewe usije kuwa Mkali wakati ulisoma Arts
 
Nadhani hili si jambo la kustaajabisha sana kwa kua km baba anashindwa kusimamia nidhamu ya familia(ambayo ni ndogo) atawezaje kusimamia nidhamu na uwajibikaji kwa taifa lililo kubwa lenye mchangamano wa waungwana na wadhalimu..
 
USISEME maneno ambayo hauwezi kutekeleza wewe unapenda kufa kweli una ulilofanya zuri au unafikiri kufa ni kuondoka duniani? kuna maisha baada ya hapo. Resource za nchi hatumii RIDHWANI yeye anatumia hela za Chama chao CCM sio masikini kama chadema wakashindwa kuwalipa kina kinana, na ridhwani ni mwana UV CCM mbona mnamyima haki yake. ACheeeeeeeni ubinafsi

Sawa hizo fedha za CCM ni za familia ya JK?halafu hiyo si ruzuku inayotokana na kodi za Watanzania?
 
Kilaza na tafasiri tu kaka bora ana akili za Kuweza kuvaa suruali zinamtosha we na ukipanga wako umekusaidia nini. USIlete manenoya luhanga Anasema yeye ndo Jiniasi akawadharau waliosoma masomo ya Arts wakiitwa Ngwini. Alipostaafu ndo akawajua umihimu wao walimpa mafao hata ya Mwl wa shule ya msiingi afadhali. watu wote sawa.
Nawewe usije kuwa Mkali wakati ulisoma Arts
duh! inaonekana kuku touch inaelekea na wewe ni walewale watafuna kodi zetu.au ridhiwani kakuajili unamchamba nini?
 
huo ni wivu mnaionea familia ya KIKWETE, anapenda familia yake mbona nyie shughuli zenu mnahusisha watoto wenu januari hawezi gombea msifikirie hilo. Wakwere ni watu waliopata malezi bora, huwezi linganisha na Makabila mengi yaliyojaa ubinafsi na Tamaa hata mwalimu aliyataja au tukumbushie uelewe. msitupeleke tufikirie mnadhani kuwa ni kweli

Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateWed Nov 2010Posts22Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts
moz-screenshot.jpg
moz-screenshot-1.jpg
 
Nahisi anajiona ni mtanzania namba moja kuliko wooote sisi.
mwacheni tu maana kama mjuavyo ukishakula chakula mahala pa kukipeleka ni shimo la choo au kichakani.
 
Watanzania cha muhimu ni kuzidi kuamuka zaidi na kulinda heshima ya nchi yetu . huyo kinyango Ridhiwani saizi yake kama mnajua ameingia mahali fulani kufanikisha uchakachuaji wa kura za watanzania , dawa watu wavamie hoteli hiyo na kuchoma moto na baba yake hawezi kufanya lolote kwani nguvu ya umma haiwezi kuzimwa na JW, bali haki ZA watanzania. dawa ya moto ni moto tu .
 
nazan wanataka kufanya serikali ya kifalme...
like faza like son..
kama nanilii ni limbukeni bas hata kifaranga wake nae ni limbukeni
 
huo ni wivu mnaionea familia ya KIKWETE, anapenda familia yake mbona nyie shughuli zenu mnahusisha watoto wenu januari hawezi gombea msifikirie hilo. Wakwere ni watu waliopata malezi bora, huwezi linganisha na Makabila mengi yaliyojaa ubinafsi na Tamaa hata mwalimu aliyataja au tukumbushie uelewe. msitupeleke tufikirie mnadhani kuwa ni kweli

hakuna kumuonea wivu hapo.ni ukosefu wa upeo wa kufikiri kufananisha nchi na shughuli binafsi.amshirikishe katika biashara zake binafsi huko bagamoyo lakini sio ktk uongozi wa nchi.katika uongozi wa nchi mwananchi ndio muajiri mkuu.sasa huwezi ukaajiriwa halafu ulete na vifaranga vyako toka nyumbani vije kufanya kazi ya muajiri.kama kweli huyo dogo anauwezo angoje dingi amalize muda wake then aibuke kivyake na sio atumie kivuli na jina la dingi.nchi hii haitawaliwi kifalme.na ni aibu kubwa kwa ccm kutokemea huo udhaifu unaotokea sasa hivi.kama ni watoto hata nyerere alikua nao lakini hakuwaruhusu kutumia mgongo wake.
 
Kwanza kuna nini Ikulu, kwanini Kikwete asimalizie muda wake wa uzee ulomjia vibaya kwa kukaa chini na familia kuwachakachua kidogo wajukuu zake kiakili ili walao wakue na ka uadilifu zaidi ya mwanae anayetumia dhamana ya babake vibaya?..
 
Kumdiscuss huyu ni sawa na kumvalue kuwa ni mtu wa maana.
Cha msingi ni kumpotezea/ignore him hajui atendalo anadhani uraisi ni wa familia
 
Kwani RIDHWANI ni nani unavyojua wewe au mnachemka taja cheo chake utuambie kama nicha serikali au vipi yaani nyie mkimuona tu mnaanza kufikiri nauli anatumia ya nchi. mwacheni kagame mwenyewe nimeona kampeni anafanya na watoto wake kwani SLAA alikatazwa kufanya kampeni na watoto. Siasa ni ishu ya familia zaidi nakwambia ila kama ridhwan kashiriki serikalini ana cheo na hana sifa kwa kweli Mkwere atakua kachemka. vinginevyo mnamuonea gele
 
Back
Top Bottom