Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Faili halifunguku kuna ujanja wowote wa kufungua hilo faili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inshallah,Nimependa hii kwenye ile sehemu ya kuangalia
"Usihangaike kujua nani kaleta, hangaika kuangalia hali halisi na kuchambua maoni ya watanzania"
You have made my day!
Many thanks to Dr. Mwakyembe and Team!!!
At last paka kafungwa kengele ... patamu hapo
Mwiba, hakuna kitu huwa kinaniuma kama kuona (with my naked eyes) kuwa nilizaliwa Tanzania ikiwa nchi masikini na nitakufa nikiihacha nchi masikini. Hiki kitu huwa kinaniuma sana!!Tusibabaishane huu utawala wa CCM na vikaragosi vyake umemaliza muda wa kuwepo madarakani, walichonacho hivi sasa ni kununua muda na kujaribu kujipanga upya,kwa kweli wasipewe muda huo wa kujipanga upya waondolewe tu,hakuna kutazama kipengele wa kikengele,muda na wakati wao umekwisha,wafunge funge na kukaa pembeni.
Watawala wanaokaribia nusu karne na hawajaweza kuiendeleza Nchi yao watawala hao hawafai ni lazima waondoke tu.Waondolewe kwa kura wakiiba waondolewe kwa nguvu
Muda wote huo Tanzania iliyojaa mito kila kona wameshindwa kumpatia mwananchi maji safi na ya uhakika, Tanzania iliyojaa uranium wameshindwa kuwapatia umeme wa uhakika tunabaki kusulubiana kwa mitambo ya watu wengine ambao wameshatuibia na kuyoyomea mbele sisi tumebaki nani aliruhusu nani alibania nani alipokea ! Yatatufikisha wapi ? Zaidi ya CCM kubadilisha na kutia rizavu mwengine.
Utawala wa CCM unatuharibia muda wetu wa kupiga hatua mbele ,hapa tulipokwama nao hatuendi mbele zaidi ya kuporomoka kwani hawana hata jipya moja watakalo kuja nalo zaidi ya ubabaishaji ,mawazo yao yamejifunga katika wizi ni vipi watafanikiwa kuanza kuiba tena ,ni vipi wavuke hewa hii inayowachafulia mirija yao.
Hivyo muda wa kujadiliana nao utafikiwa wakishaondoka kwenye madaraka ,huku wanakong'ang;ania ni kununua muda ili tusiwakurupushe katika mambo mengine ,mambo ambayo ni muhimu katika kujikwamua na shida zao.
Mambo ya kudai Katiba mpya ,mambo ya kudai tume mpya ya uchaguzi,mambo ya mahakama huru ,haya ndio mambo ambayo utawala wa CCM unajaribu kuyakwepa ni mambo ambayo yanahitaji kushughulikiwa kwa nguvu zetu zote na baadae ndio tutaweza kupambana na CCM katika ufisadi wao,lakini kuyarukia wanayoyafanya nyuma ya pazia ni kujihangaisha.
Vyama vya Upinzani havina budi kwanza kuyadai mambo makuu hayo na yakishakupatikana ndio tuwageukie wahujumu uchumi njia yao ya kutubabaisha itakuwa ndogo sana na pengine isiwepo kabsaa ,hapo ndipo patakapokuwa patamu.
...ni mchezo mchafu, wamejua kisheria mitambo hiyo ilipaswa kutaifishwa maana walioileta "waligushi" nyaraka. Sasa wamezunguka mlango wa nyuma na kuwahonga akina Rashid ili mitambo inunuliwe kabla issue ya kutaifisha haijawekwa wazi na mahakama. NAOMBA WASUBIRI MPAKA KESI YA GIRE IISHE, Pleeeese!!wanajamii ndiyo natoka Lunch .Nimekula na mmoja wa vigogo wa Tanesco wa mkoa huu .Yeye anadai kwamba wanacho kifanya sasa kusema wazi ni just kuwapa info lakini Serikali imeamua kununua mitambo hiyo.Anasema sisi Serikali akiwa na maana tanesco ni sehemu ya serikali wamesha amua na hakuna atakaye zuia .Si Bunge wala Mbunge the game is over watu wangojee kuona transfer ya mitambo pamoja na kwamba makelele ni mengi .Mie nimebaki mdomo wazi .Yangu macho sasa
Uamuzi huu unatokana na kauli ya Zitto.. CCM wameitumia nafasi hii kuonyesha kwamba sio wao waliopitisha kitu hiki isipokuwa ni mtu wenu mnayemwamini.. Nilijua mapema kwamba baada ya Zitto kutoa kauli ile CCM wasingechelewa kabisa kuitumia... na habari hizi nilizipata kupitia Ka nzi..zwii zwii zwii!.... tumekwisha....uchaguzi karibu sasa hivi wengi watanunuliwa bila wao kujitambua..
Maskini Zitto sasa hivi CV yake kwa wananchi tayari imeisha ingia DOA!...