Richmond + TANESCO: The complete deal

Naibu Waziri Chibulunje, Viwanda Biashara na Masoko na baadaye Karamagi wanapewa nafasi ya kuchangia, kwa upande wa serikali
 
KAramagi, ameanza kauongea na na kuipongeza serikali kwa kuunda tume ya kusaidia kuundwa kwa Kamati ya madini....
 
JF wakati mwingine tunasikitisha... Naona watu hawakumbuki kabisa kwamba katika hii thread ndiko iko ripoti ya PPRA na hapa JF kuliwekwa mkataba wa Richmond na kwamba hayo mawili ndio yaliyowafanya MP's wetu wakaona aibu kwamba kila kitu nje nje... Tusilale, tuendelee kuwazindua mpaka nchi ikombolewe
 
Asalaam Aleykum au kwa kutafsiri, amani iwe juu yenu.

Nimesoma mengi na mpaka sasa sioni chochote cha maana kilichosemwa humu au kuamuliwa humu bali ni kama kawaida yetu wabongo, kuponda tuu. Hivi nyinyi mlikuwa wapi wakati wenzenu wanagawana hivi vyeo?

Mmekazana Tanesco, dowans, serikali, sijui mkataba mbovu, sijui serikali mbovu, sijui nini, sijui nini? sasa mnachotaka hasa ni nini? siwaelewi kabisaaaaaa! Siwaelewi, hivi ni CCMndio mbovu? ni serikali ya ccm? ni nani hasa? wapinzani ndio bora? yaani hamjuwi au hamtaki kusema kweli kuwa hata hivyo vyama vya upinzani vyote vilianzishwa na system na mpaka sasa vinaendeshwa na system? Kama mnajuwa mnacho lalamika ni nini?

Kama hamjuwi basi muelewe hivyo vyama vya siasa vyote ni mali ya system.

Mtanzania hatokomboka kwa kelele zenu zisizokuwa na faida? Jee ni watanzania wangapi wanaoingia kwenye JF au kwa uchache tuu wanaoingia mtandaoni? Hebu tufanye ya maana. Tutafute njia za kuongeza elimu kwa watanzania, kwani ujinga tuliowachiwa na Nyerere ndio ulitufikisha kwenye yote haya.

Anaetaka kuelwa ataelewa na asietaka hatoelewa.
 
zomba,
Mbona unaongea kama ndio umenunua kompyuta mpya,hapa sio mahali pa kujifunza kuandika au kutaka kujua nani kala nini.toa yale yaliyokusibu na sio kupayuka.
 
Asalaam Aleykum au kwa kutafsiri, amani iwe juu yenu.

Nimesoma mengi na mpaka sasa siono chochote cha maana kilichosemwa humu au kuamuliwa humu bali ni kama kawaida yetu wabongo, kuponda tuu. Hivi nyinyi mlikuwa wapi wakati wenzenu wanagawana hivi vyeo?

mmmekazana Tanesco, dowans, serikali, sijui mkataba mbovu, sijui serikali mbovu, sijui nini, sijui nini? sasa mnachotaka hasa ni nini? siwaelewi kabisaaaaaa! siwaelewi, hivi ni ccm ndio mbovu? ni serikali ya ccm? ni nani hasa? wapinzani ndio bora? yaani hamjuwi au hamtaki kusema kweli kuwa hata hivyo vyama vya upinzani vyote vilianzishwa na system na mpaka sasa vinaendeshwa na system? kama mnajuwa mnacho lalamika ni nini? kama hamjuwi basi muelewe hivyo vyama vya siasa vyote ni mali ya system. Mtanzania hatokomboka kwa kelele zenu zisizokuwa na faida? Jee ni watanzania wangapi wanaoingia kwenye JF au kwa uchache tuu wanaoingia mtandaoni? hebu tufanye ya maana. Tutafute njia za kuongeza elimu kwa watanzania, kwani ujinga tuliowachiwa nanyerere ndio ulitufikisha kwenye yote haya. Anaetaka kuelwa ataelewa na asietaka hatoelewa.
Zomba wewe ni ndugu na Zombe wa polisi aliyeamuru wadanganyika wa Mahenge wauuwawe na kuporwa madini na fedha yao??
 
Tunawapenda na kuwajali. Huenda documents kama hizi hamjapata. Get your copy now!

Invisible
 

Attachments

  • RichMondUnderCover.zip
    394.7 KB · Views: 68
Wawaa!Invisible! We ndo mtu! Labda ndo hawa wanakamati wanazunguka kwenye mtandao wanatafuta data!
Haya tuone...
 
Wawaa!Invisible! We ndo mtu! Labda ndo hawa wanakamati wanazunguka kwenye mtandao wanatafuta data!
Haya tuone...

Natumaini wanahitaji ushirikiano wa karibu. Ndio hivi wazalendo wamejitolea kuwafikishia ujumbe.
 
watumie kwenye email zao kabisa; otherwise nafikiri Zitto atawapatia

Haha Kitila bana! Sina hakika kama barua pepe (email) zao hazijafungwa wengine. Kama kuna wanaoweza kuwakilisha kwa niaba ya wana JF basi hima wafanye hivyo.

Binafsi sina barua pepe za wahusika. Ni rahisi; kuna sehemu inakupa uhuru wa kumtumia rafiki yako mada hii. Just press and there you go! Nimetuma kwa wawili tu
 
admin nakupongeza kwa uzalendo wako wa hali ya juu na kwa kazi nzuri unayoifanya.(nakuombea wasije kukumwagia tindikali). sasa jamani, hakuna namna tukapata na ule mkataba wa IPTL? nadhani tunahitaji vidhibiti vingi iwezekanavyo ili tuweze pata picha nguvu zaidi ya hoja juu ya uendeshwaji wa nchi yetu, au mnaonaje? s kwa hyo yeyote anayeweza kutusaidia, tafadhali fanya hima.
 
Jamani,Zitto ametuchambulia mambo haya kwa undani sana na at least macho yakafunguka tukaweza kuona. Hili pia linahitaji rais aunde tume. Thanks kwa Kikwete kumuona zitto kwenye tume pengime tukapata majibu yasihihi na maamuzi yenye akili
 
Hivi Zomba yaliyokusibu hasa ni yepi? waache watu watoe maoni yao,hao hao wachache wanaofika hapa mawazo yao yanatosha kubadili nchi. Kwani hujui ya BOT yalitoka humu humu na mengine mengi> au wewe ni moja wa watuhumiwa BOT? elimu hipi kwa watanzania,hii ya shule za kata? sijui Zomba kinachokusibu
 
Hivi wana-forum, hii ISSUE hatuwezi kuripoti IRS hawa RICHMOND wachunguzwe nao?
 
Back
Top Bottom