Inashangaza sana Samuel Sitta anaposifiwa na kuonyeshwa kuwa ni mtu mahiri, mwenye staha ya kuwa Rais.
Akiwa Waziri wa Ujenzi alifanya nini?
Alipokuwa CDA alifanya nini cha maendeleo kugeuza Dodoma kuwa mji mkuu na mkoa wenye maendeleo?
Alipokuwa Mkuu wa Mkoa alileta maendeleo ya namna gani?
Alipokuwa TIC, aliliongoza vipi Taifa letu kuingia katika mfumo wa soko huria na utandawazi na uwekezaji?
Kama Spika wa Bunge, ameleta mapinduzi gani?
Je anafaa kuwa Rais wetu?
Kufaa ama kutofaa hakutokani na alifanya nini, kwani Mwinyi, Mkapa na JK walifanyanini kabla hawajachaguliwa?.
Kwa maoni yangu, pamoja na mapungufu yake yote, bado anafaa zaidi kuliko aliyepo, tatizo by 2015 he'll be bypassed by time.
sijui kiswahili kizuri cha cheap journalism kinaitwaje
Old news I may say, hawa Tz Daima wana-refer topic hii ya mwezi Oktoba: Richmond: Sitta anahusika pia?
Bandiko hilo liliwekwa na Zalendohalisi.
Halafu hawajatoa hata credit walau kwa kutaja doc hiyo waliinyonya JF.
Kazi kwelikweli, lakini nawashukuru wana JF kwa kuweka source za kila inapotoka info yoyote ili kutoa credit kwa wenye kuwa chanzo cha habari.
Tunachagua kwa curent merit, sio past legacy, nikikuuzia sera za kwenye ilani yangu, ukanikubali, hii ijajustfy kunichangua, issue ni kama nikishindwa kutekeleza kile nilichoahidi. JK bado hajashindwa ila amechelewa kidogo tuu, hiyo miaka mitano ijayo tutampa tena ili amalizie na kuacha legacy.Pasco.... Mwinyi, Mkapa na JK hawajafanya chochote. Tulifanya makosa kutowauliza walifanya nini katika nyadhifa zao za awali kabla hawajawa marais.
Kwa maoni yangu, kiongozi alifanya nini huko nyuma kunapelekea kabisa kueleza kama kiongozi anafaa au hafai. Kama JK alikuwa ni waziri mbovu, tutegemea nini ktk urais wake?
1. Samuel Sitta – now, this is the epitome of hypocrisy. How can a man, with straight face, pose as a champion of virtues and ethics while his entire life is defined by unremarkable political achievements and countless allegations of abuse of office at TIC, in Bunge office and everywhere?
He has screwed up, and inserted himself as the main news item, in every major issue that has come before the Parliament. However, in this ongoing theatre, you have to give him credit for wrestling the Parliament from CCM's control and for using the Speakership to build his own little empire of patronage and clientelism.
At the moment, he is one of, if not THE, most powerful men in Tanzania . He coordinates his political mischief with Mr. Reginald Mengi, a tax-evading divorced showman with taste for younger women, to ensure that those scandalized in the Parliament get similar treatment in the media.
Inashangaza sana Samuel Sitta anaposifiwa na kuonyeshwa kuwa ni mtu mahiri, mwenye staha ya kuwa Rais.
Akiwa Waziri wa Ujenzi alifanya nini?
Alipokuwa CDA alifanya nini cha maendeleo kugeuza Dodoma kuwa mji mkuu na mkoa wenye maendeleo?
Alipokuwa Mkuu wa Mkoa alileta maendeleo ya namna gani?
Alipokuwa TIC, aliliongoza vipi Taifa letu kuingia katika mfumo wa soko huria na utandawazi na uwekezaji?
Kama Spika wa Bunge, ameleta mapinduzi gani?
Je anafaa kuwa Rais wetu?
Kufaa ama kutofaa hakutokani na alifanya nini, kwani Mwinyi, Mkapa na JK walifanyanini kabla hawajachaguliwa?.
Kwa maoni yangu, pamoja na mapungufu yake yote, bado anafaa zaidi kuliko aliyepo, tatizo by 2015 he'll be bypassed by time.
Jamani huu sasa ni upuzi wa hali ya juu. Samweli Sita wakati akiwa mkurugenzi pale TIC alikuwa na jukumu la kuongea na kuwasikiliza watu wote waliokuwa wakija nchini kwa lengo la kuwekeza. Sita aliwasikiliza wawekezaji na kuwatambulisha kwa makampuni husika na wala si kuingia mikataba na hao wawekezaji. Sasa kwa hapa kosa la Sita ni lipi?