Nenda ukaulizie kwao!!!
Jamani yuko wapi au ndo umaarufu bongo basi tena..Kuna tetesi anaonekana Moshi maeneo ya KCMC anashinda saloon asubuhi hadi jion akiulizwa vp anasema amerudi nyumbani kulima..
asante hivi kwa ni wapi vile?..
Kwa nini? Au kafulia?kweli M.100 si pesa milioni chenji tu.
si alimuoaga meryl wa namibia? ikawaje tena?
si alimuoaga meryl wa namibia? ikawaje tena?
@Nyakwec's, "Kilaracha"