Mtimkavuorg
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 648
- 518
Nenda Image magorofani pl wana wali kokoto,mishikaki mikubwa mizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
karibu sana jijini kuwa makini komaa na jinsia yako uliyokuja nayo... usikubali kulipiwa ukifika huko mgahawani.Ndugu zangu wenyeji wa dar, ivh ni sehemu gani nzuri ambayo wanauza vyakula vitamu vitam kipenzi cha wengi. Sometimes mm naona ni vzur kubadili mazingira. Bei haijalishi
Yes...kushoto kabla ya kituo cha mikumiBasmati?
Ndio wapi hapa, napenda sana wali kokotoNenda Image magorofani pl wana wali kokoto,mishikaki mikubwa mizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilihisi hiki kitu jamani ....hasa ugali wao wa muhogo chaaMkuu hamira pale imeshamiri.
Sent from my iPhone using JamiiForums
karibu sana jijini kuwa makini komaa na jinsia yako uliyokuja nayo... usikubali kulipiwa ukifika huko mgahawani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes...kushoto kabla ya kituo cha mikumi
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Mkuu ni wachafu hakuna mfano,jaribu siku moja kuchungulia jikoni naapa hutakaa upate msosi hapo mahali ya pale mjini nayo ndio usisemeBrake point Kinondoni makaburini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaha mambo ya ya tabata linatangazwa birian lakn tako linatikisika bongo nyoso birian + tako cjui kunamshusiano gani mliopo tabata tupen majibu
Fitina at work badala ya men at work.
Weeeeee!Mkuu ni wachafu hakuna mfano,jaribu siku moja kuchungulia jikoni naapa hutakaa upate msosi hapo mahali ya pale mjini nayo ndio usiseme
Haaahaaa....Acha Mkuu. Pale sili . Nilikula kaugali ka mtoto mdogo kakageuka gundi tumboni. Nilishiba siku nzima.
Lile pilau balaa! Wapemba kwa hayo mambo wako poa sanaButiama Restaurant mtaa wa Idrissa Magomeni,pilau ya hapo haina mfano Dar nzima