chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,662
Wakati tunajadili mafuriko, pia tujipe tafakari ya Dar es salaam ilivyopaswa kuwa na sisi tumeenda kinyume na hali ya mazingira kwa kiasi gani.
Ninaamini mito inayotoka maeneo mbalimbali ukanda wa pwani inaamini bado haya maeneo ya maziwa yapo, hivyo mito hiyo inaleta maji ziwani.
Tunashangaa mafuriko, kumbe hayo maeneo ni sehemu Mungu aliitenga kwa ajili ya maji.
Hakuna namna ya kuiponya Dsm dhidi ya mafuriko. Sinza, Tandale, Mwananyamala ni eneo oevu (ihefu ya jiji)
Wilaya pekee isiyo na mafuriko ni Kigamboni.
Ninaamini mito inayotoka maeneo mbalimbali ukanda wa pwani inaamini bado haya maeneo ya maziwa yapo, hivyo mito hiyo inaleta maji ziwani.
Tunashangaa mafuriko, kumbe hayo maeneo ni sehemu Mungu aliitenga kwa ajili ya maji.
Hakuna namna ya kuiponya Dsm dhidi ya mafuriko. Sinza, Tandale, Mwananyamala ni eneo oevu (ihefu ya jiji)
Wilaya pekee isiyo na mafuriko ni Kigamboni.