Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,692
- 71,586
Sana aseeeUzi mkaree
Huu uzi utanifanya nibadili locations za kula kila nikipata chance
Sana aseeeUzi mkaree
Mi nikiwa na hamu na kiwanja kipya nacheki humu then nasepaaSana aseee
Huu uzi utanifanya nibadili locations za kula kila nikipata chance
The great or?Tabata Barracuda.... Nao si haba.
Juliana yes but kwa chefkile hapana...nyama nzuri insta na mapichapicha, ila nenda pale Ramada kale ooooi mbaya balaaChef Kille Bbq kama zote,Juliana Pub
Juliana yes but kwa chefkile hapana...nyama nzuri insta na mapichapicha, ila nenda pale Ramada kale ooooi mbaya balaa
Kwa esha ana maviumgo mengi bora shilolenaona wanamsifia?
Na Kwa Esha Buheti?
Kwa esha ana maviumgo mengi bora shilole
Hata sele bonge yuko vizuri sana
Yuko ramada au Mbezi?Juliana yes but kwa chefkile hapana...nyama nzuri insta na mapichapicha, ila nenda pale Ramada kale ooooi mbaya balaa
Sasa Ramada iko wapi mkuu? Si mbeziYuko ramada au Mbezi?
Ramada itakua ni branch ingine na inawezekana kawaacha watu wafanye kazi ndio wanavurunda.
Kitimoto huli dear?Eeeh niendelee kula kwa mama ntilie
Break Point mapichapicha yao ya insta hatari ila uhalisia sasa 😂Hao Brake point kino kuna siku nilijilaumu, nilienda na njaa yangu nipige supu kuku kienyeji nilikoma nikaletewa kisupu hakieleweki.
Nikapigwa 16k kipaja flani hivi na kandizi na maji ndogo.
Ila niliwaibukia tena na masela walikoma,
Kula sana nyama Mix kila kitu, ulinzi jamaa wapo huko huko jikoni kusimamia show
Chooni balaa kuchafuuu
Nilikuwa nina mpango wa kwenda kula buffet yao aisee 🤦🏾♂️🤣alafu hizo ni bei za zaman kuna mpyaa sasa hivi sema chakula cha akemi ni big No nilikulaa biryani lao nahisi lile walipashaaa
Break Point mapichapicha yao ya insta hatari ila uhalisia sasa
Nitaenda jaribu mapishi yake hivi karibuni nijioneeHaaa! Zile zinakua picha za matangazo, shilole tu ndio anaweka uhalisia wa anachopika
Butiama Restaurant mtaa wa Idrissa Magomeni,pilau ya hapo haina mfano Dar nzima