SOSDANNY
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 453
- 444
Siyo kariakoo ni mnazi mmoja kuelekea Kati Kati ya mjini.Kariakoo ama?
Siyo kariakoo ni mnazi mmoja kuelekea Kati Kati ya mjini.Kariakoo ama?
Magomeni ipi?Nenda Golden Fork Sinza,
Nenda kwa open kitchen ana chakula kizuri
kuna mgahawa upo kulia mtaa kama wa pili kabla ya kufika muhimbili ukitokea fire jina limenitoka wana chakula kizuri
Halafu kuna mama ntilie moja yupo Magomeni wallah msosi 1,500 tu ila ni hatari sana
Hizi Tshs 35 na 65 ni elfu?Akemi restaurant goldern jubillee tower ni sehemu nzuri sana view wise and hospitality bufe ni Tsh 35 mchana is in point au Serena ambapo bufe ni 65
ndicho anachomaanisha mkuu,vIpi?Hizi Tshs 35 na 65 ni elfu?
Bei ingeweza kuwa £ au $ n.kndicho anachomaanisha mkuu,vIpi?
Nikimtaka na mpishi?Chakula ninachopika mimi tu ndo kizuri dar nzima.
Ni mobile restaurant.
Una wazimu.Nikimtaka na mpishi?
Chakula ninachopika mimi tu ndo kizuri dar nzima.
Ni mobile restaurant.
niletee biryani basiChakula ninachopika mimi tu ndo kizuri dar nzima.
Ni mobile restaurant.
kwa King Sure!Ndugu zangu wenyeji wa Dar, ivh ni sehemu gani nzuri ambayo wanauza vyakula vitamu vitam kipenzi cha wengi. Sometimes mm naona ni vzur kubadili mazingira. Bei haijalishi
Hizi Tshs 35 na 65 ni elfu?
Hapana sio kariakoo, ni city centre, nyumba ya hotel ya starlight Kuna mtaa wa Libya ukienda nao Sasa mbele utakata upande wa kulia mtaa wa chaga ndipo hapo Kuna chef's pride.
Nenda Golden Fork Sinza,
Nenda kwa open kitchen ana chakula kizuri
kuna mgahawa upo kulia mtaa kama wa pili kabla ya kufika muhimbili ukitokea fire jina limenitoka wana chakula kizuri
Halafu kuna mama ntilie moja yupo Magomeni wallah msosi 1,500 tu ila ni hatari sana
kila Mtu na taste yake.open kitchen niliendaga kulaa nilichokaa anavyojuaa kujisifiaa na nilichokulaa woyiii i will choose terrace everyday wana chakulaa kizur saana