Reginald Mengi kugombea Urais

Reginald Mengi kugombea Urais

Mtanzania yeyote ana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka pia ana haki ya kuchaguliwa kuwa kiongozi kwa wale wanaosema kwamba kuna makabila hapa tanzania hayapaswi kuchaguliwa kushika nafasi za juu za uongozi hususan urais .

kwa maana hiyo hayo makabila ambayo hapaswi kushika nafasi za juu hususani urais basi hayapaswi kumchagua mgombea yeyote asiyetokana na makabila haya huo ni upuuzi ambao hupaswi kuachwa hivyo na ni chanzo cha ukabila nchini tanzania na toa wito kwa watu wenye mtazamo mgando kama huo waache mara moja tanzania ni yetu sote
 
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.

binafsi sintoshangaa kwa vile wewe ni mswahili halafu kibaya zaidi uko CCM. uswahili na CCM mna zifa moja kubwa inayoshabihiana - UVIVU.

kupenda vya dezo (mapouda, EPA, Richmond, Escrow, radar, etc) ni viashiria vya taifa lililoruhusu WAVIVU kukalia ikulu
 
Na hii itakuwa faida kubwa kwa Amani ya nchi. Watu kama ninyi kuwa Raia wa Tanzania ni hasara kubwa.
Nchi sio idadi tu ya watu, quality ya watu wenyewe in matter sana.

Hivi safari hii mtamuweka Mbowe agombee? kwi kwi kwi kwi.

Kwanza vigezo vipya vya mpaka awe na degree hajatimiza.
 
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.

Kabla hujaukana huo uraia kuna faida gani imepatikana? Acha kuukana tuu, jiue
 
Kabla hujaukana huo uraia kuna faida gani imepatikana? Acha kuukana tuu, jiue

Haittokea siku hiyo katika uhai wangu, kubuka hilo.

Kwanza uchaguzi ujao mtamsimamisha nani? Mbowe? ana vigezo?
 
Wachagga mmesahau Mbowe alipogombea na Kikwete? alibwagwa kwa kura ngapi?

Uchaguzi uliofata hakurudi tena.

Na safari hii mwekeni tena mchagga agombee tupate njia ya mkato.

Pumba. Nchi hii hakuna iliyowahi kuchukua urais zaidi ya mgombea wa ccm. Hata sharifu kashinda zenji Mara 3 lakini hajawai ongoza. Msimu huu ccm wameona njiA rahisi ni kugawana mseto kati ya ccm na kafu yako kuliko kuwapa kafu.
 
Nisome tena:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.

sina haja... nshamaliza.
hujaelewa...soma nilichokiandika
 
mengi sawa mana anayajari hata makundi ya wasiojiweza,vijana na akina mama pia kama itakuwa kweli mengi niweke kwenye safu yako nichukue jimbo na mimi
 
Nisome tena, halafu jibu maswali niliyouliza kama unaweza:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Wachagga mmesahau Mbowe alipogombea na Kikwete? alibwagwa kwa kura ngapi?

Uchaguzi uliofata hakurudi tena.

Na safari hii mwekeni tena mchagga agombee tupate njia ya mkato.

Pumba kabisa hii. UlitarajiA mshindi atoke upinzani.? Chadema ilkuwa inawafuAsi kama sisiemu.?
Walikuwa wana wafadhili kama cc.?wanawake si mlimtaka hendisam wenu.?
 
ndio kwa mujibu wa katiba ya JMT anayo haki ya kupigiwa na kupiga ila mengi hana vigezo!!
 
Ikulu itakuwa nyumba ya ma model na akina meku,ngoja niwe karibu na akina meku naweza pata site ya kuuza mchemsho pale kwenye ukuta karibu na lango la kuingilia ikulu kwani kabla ya kuingia ikulu akina meku watakuwa wanapata kisusio palepale jirani.
 
Tunamzungumzia Mengi,
Acha kuota waume wa wenyewe!

Mwekeni agombee chadema tupate njia ya mkato maana Rais wa Kichagga hakuna Mtanzania asiye mchagga ataemkubali.

Unajuwa kuwa Mbowe hata chadema wasio wachagga hawakumchaguwa alipogombea na Kikwete.
 
Pumba kabisa hii. UlitarajiA mshindi atoke upinzani.? Chadema ilkuwa inawafuAsi kama sisiemu.?
Walikuwa wana wafadhili kama cc.?wanawake si mlimtaka hendisam wenu.?

Hata wachagga wenyewe hawakubali mchagga mwenzao awe Rais wa Tanzania, wanajijuwa.

Hukumbuki Mrema, alisema hata mkewe hakumpa kura.
 
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.
[h=2]“No one is born hating another person because of the colour of his skin, or his background, or his religion. People must learn to hate, and if they can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite.”[/h]

[h=5]“No one is born hating another person because of the colour of his skin, or his background, or his religion. People must learn to hate, and if they can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite.“[/h][h=5]~ Nelson Mandela from Long Walk to Freedom, 1994[/h]
 
Hamna kitu kama hicho. Utasubiri hadi kiama na hutamwona anagombea.
 
Haittokea siku hiyo katika uhai wangu, kubuka hilo.

Kwanza uchaguzi ujao mtamsimamisha nani? Mbowe? ana vigezo?

Hivi mgombea atakaye teuliwa na vikao husika akiteuliwa ripoti unaletewa wewe? Kiherehere cha nini na mgombea wa Ukawa? Mbona hujiulizi hao 12 wanaotaka kutoana roho huko CCM?
 
Back
Top Bottom