Reginald Mengi kugombea Urais

Reginald Mengi kugombea Urais

Hakuna hatred hapo, ni ukweli tu, hawafai kuwa viongozi wa nchi wataiharibu.

Machagga akigombea hata wachagga wenzake hawampi kura, huo ndiyo ukweli, wanajijuwa.
ndugu hawa jamaa nawaamini sana kila mahali walipo kuna mabadiliko hata ya makzi ukitembelea maeneo mengi utaona kila waliko kuna mabadiliko ni watu waliwahi kuona mbali zaidi so tusibaguane
 
Hakuna hatred hapo, ni ukweli tu, hawafai kuwa viongozi wa nchi wataiharibu.

Machagga akigombea hata wachagga wenzake hawampi kura, huo ndiyo ukweli, wanajijuwa.

Mchaga akigombea nini wenzake hawampi? Hivi Mrema kule Vunjo alichaguliwa na Wakwere?
 
Ni haki yake kugombea,lakini siasa na uongozi wa nchi siyo fani yake.
Vyema akabaki ktk biashara,huko atafaulu zaidi.

Hizo tetesi na uzifute kuanzia sasa Mengi hawezi na hahitaji nafasi yoyote ya uongozi katika nchi hii yeye na biashara zake zinamtosha.
 
Huyu bibi ni wakupuuzwa,hivi kuna post hata moja ambayo ameshaact on the best interest of her country?cjawah ona,ni hasara kuwa na watu wenye fikra mgando kama huyu Faiza, au unajisikia raha unavyoona unatajwatajwa?

Umaarufu uko pande mbili, fanya jambo zuri sana watu watakutambua au vurunda totally pia utakuwa maarufu.Naona huyu mwanamke kachagua kuwa maarufu kwa kupigia debe mambo mabaya ndani ya nchi hii,umefanikiwa kwa hilo.

Unawadhalilisha wanawake wenzako ambao wanajaribu kuonesha kuwa wanawake nao wanawea leta changamoto kwenye gurudumu la maendeleo.Subiri kupanua mapaja watu wajae upate kupeleka mkono kinywani kuliko hivi,shame on u.
 
Hakuna hatred hapo, ni ukweli tu, hawafai kuwa viongozi wa nchi wataiharibu.

Machagga akigombea hata wachagga wenzake hawampi kura, huo ndiyo ukweli, wanajijuwa.

Leo umeondoka kwenye Udini,upo kwenye ukabila.Nikiaona avator yako nakumbuka Magaidi walioua Watu 12 Paris.Eti wanalipiza kisasi.Nafikiri nao wana akili za Udini na Ukabila kama wewe na Chama unachokitetea.
 
Huyu JK kafanya nin zaidi ya kuturudisha nyuma,ametucheleweshea maendeleo.Tumepoteza miaka 10 bure.USA tumesikia Gavana ambaye pia angekuwa kwenye ushindani wa kuwania urais 2016 amefungwa 2 years kwa kosa la kuchukua rushwa takribani milion 300 za kibongo,hapa bongo watu wanapiga bilions tunawachekea na kuwapa heko majukwaani,this is a shame kwa taifa.Halafu unategemea wanaotoa misaada wawaangalie tu,ujinga mtupu
 
Huyu bibi ni wakupuuzwa,hivi kuna post hata moja ambayo ameshaact on the best interest of her country?cjawah ona,ni hasara kuwa na watu wenye fikra mgando kama huyu Faiza,au unajisikia raha unavyoona unatajwatajwa?Umaarufu uko pande mbili,fanya jambo zuri sana watu watakutambua au vurunda totally pia utakuwa maarufu.Naona huyu mwanamke kachagua kuwa maarufu kwa kupigia debe mambo mabaya ndani ya nchi hii,umefanikiwa kwa hilo.
Unawadhalilisha wanawake wenzako ambao wanajaribu kuonesha kuwa wanawake nao wanawea leta changamoto kwenye gurudumu la maendeleo.Subiri kupanua mapaja watu wajae upate kupeleka mkono kinywani kuliko hivi,shame on u.
Huyu anadhalilisha hata CCM ambayo anajidai kuitetea kinafiki hapa Jukwaani.Muasisi wa Taifa letu,Mwl.Nyerere huko aliko analia sana kuona eti hawa ndio watetezi wa chama alichokianzisha.
 
Mengi atagombea kupitia UKAWA kwani hilo lazima uwe na PhD?
 
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.

Nchi hii imeanza kuzungumza suala la UKABILA?! Ni wazi kwamba sasa hatuko salama. Hakuna dhambi mbaya kama ubaguzi, kwa sababu huleta chuki hata kwa ndugu wa damu.
Ova
 
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.
Hebu tupe DATA za hawa jamaa,manake wamezagaa Tanzania nzima,mpaka vijijini ndanindani porini.
 
Ndiyo maana Mchagga hakubaliki kuiongoza Tanzania?

Kuna watanzania wengine nao wanalalamika kwa nini makabila ya Pwani yapewe uongozi wa Nchi wakati wakoloni walipendekeza kazi zao ziwe ni Manamba,waimbaji au Makuli.Wengine wanafika mbali na kusema ndio maana Nchi inayumba.Mimi naona maono kama haya ni ya watu wa hovyo na wasiofaa kabisa kuchekewa.Ni sawa na wewe unavyohubiri Udini na Ukabila huku ukijitia unaipenda CCM.Mwasisi wa CCM mwalimu Nyerere(Baba wa Taifa la Tanzania) alikemea sana Udini na Ukabila.
 
Nchi hii imeanza kuzungumza suala la UKABILA?! Ni wazi kwamba sasa hatuko salama. Hakuna dhambi mbaya kama ubaguzi, kwa sababu huleta chuki hata kwa ndugu wa damu.
Ova

Ukitaka kujua Nchi haitawaliki jaribu kuchunguza hawa wanaohubiri Ukabila na Udini huwa wanatetea chama gani humu Jamvini.
 
Naam, hilo wanaliweza sana lakini kuongoza nchi hawakubaliki.
Ila wana historia na mifumo ya utawala kwa karne nyingi.
Kwa mfano,Mangi.
Hivi ukanda wa pwani/Zanzibar walishakuwa na mtemi yeyote?
 
Humkumbuki mama'ke Yesu?

Kama wewe unavyomkumbuka yule aliyebaka mtoto wa miaka 12 mkasema hiyo ni sunna. Mpuuzi sana wewe. Hapa yanazungumzwa mengine wewe unaleta mambo kinyume nyume au ndio tabia yako?
 
Ila wana historia na mifumo ya utawala kwa karne nyingi.
Kwa mfano,Mangi.
Hivi ukanda wa pwani/Zanzibar walishakuwa na mtemi yeyote?

Mtemi wa nini? Huku ni Maminywi, ndiyo maana miji yetu huku ni "Bwagamoyo", "Dar Es Salaam", utemi wa nini? Watu wako burdaan wa sharaba.
 
Back
Top Bottom