Reginald Mengi kugombea Urais

Reginald Mengi kugombea Urais

Wakuu ! Ni haki kubishana kwa post ambayo ni tetesi isiyo rasmi ?

Watanganyika kwa mwaka huu 2015 HATUDANGANYIKI NG'OOH
 
Ukimsimamisha mengi na mpoki kugombea urais,mpoki wa ze komedi anashinda kwa zaidi ya 90%.

Ukimsimamisha mengi na jiwe au mti,mti utashinda kwa asilimia 80,mengi 5,15 zitakua zimeharibika.

Ukimsimamisha mengi na mnyama yoyote kama mbwa,paka,punda,kenge au fisi,mnyama atashinda kwa asilimia 75,mengi 10,zingine zitaharibika.

Ukimsimamisha mengi na wadudu kama nzi,mbu,nge,mbung'o,wadudu watashnda kwa asilimia 65,mengi 25.

Ukimsimamisha mengi na magonjwa kama ukimwi,ebola,mafua ya ndege,bonde la ufa,nguruwe,kifua kikuu,magonjwa yatashnda kwa asilimia 55,mengi 35.

Heri kuishi na ukimwi kuliko mengi kua rais.
 
Hivi safari hii mtamuweka Mbowe agombee? kwi kwi kwi kwi.

Kwanza vigezo vipya vya mpaka awe na degree hajatimiza.

Hivi nikuulize vigezo vya Urais wanataka mgombea awe na shadaha walau moja. Ki taaluma Mengi hana shahada... ina maana atagombea kupitia zile za heshima anazopewa na vi-NGO,s??, je nazo zinahesabika kama za wanataaluma? Nijuze dada anga foxy.... teteteteteh wachaga siku hizi promo hata wahaya hawaoni ndani.
 
Hii tetesi haitakuja kuwa kweli

Reginald Mengi CCM damu

alimsaidie jk sana kuupata urais mwisho wa siku jk kamchinjia baharini hakumpa fursa ambayo aliitarajia
 
Taarifa zisizo rasmi zinadai ya kuwa mwenyekiti wa IPP Dkt. Reginald Mengi ana mpango wa kugombea uraisi mwaka huu wa uchaguzi 2015.

Japo haijfahamika wazi kuwa atagombea kupitia chama gani au mgombea binafsi.

Katika kipindi cha hivi karibuni Mengi amekuwa akionekana kuwa mwiba kwa serikali kupitia maneno yake zikiwemo tweets na kupitia vyombo vyake vya habari huku akisisitiza uzalendo na uwajibikaji.

BY: SUPU YA MAWE

Subiri ikishakuwa rasmi ndo uilete jukwaani
 
Last edited by a moderator:
Hivi nikuulize vigezo vya Urais wanataka mgombea awe na shadaha walau moja. Ki taaluma Mengi hana shahada... ina maana atagombea kupitia zile za heshima anazopewa na vi-NGO,s??, je nazo zinahesabika kama za wanataaluma? Nijuze dada anga foxy.... teteteteteh wachaga siku hizi promo hata wahaya hawaoni ndani.

Hiyo hamna mwenye nayo Tanzania nzima hii.
 
Mkuu mi naona kama unapenda taarifa za chinichini na unazifanyia conclusion vile unavyoona inafaa. Hater na gossip mongers wapo kila sehemu mkuu. It's obvious Migogoro na wizi katika maeneo ya kazi yaPO kila mahala hata kwenye mtaa unaoishi. Mengi hayuko pale kugawa pesa Bali kufanya biashara. Nina uhakika kuwa kama mambo yake ni mabaya asingejijengea heshima aliyonayo. Pesa sio kila kitu.
Mikataba ndio kitu kinawafunga watu kwenye ajira. Unapokuja na hoja kuwa eti halipi kodi ama hawalipi wafanyakazi wake vizuri. Kama kulipa kodi ingekuwa ni maendeleo nadhani tanzania tusingekuwa na hao wakwepa kodi. Exemption za nini? Jaribu kujiuliza ni Rais gani nchini alishinda uchaguzi kwa kuwa ni mwadilifu kuliko mengi kwa vigezo ulivyotaja na jaribu kuweka asilimia UA jao marais kama inazidi nusu?
Kisha jiulize je uadilifu wa mtu ndio kigezo cha MTU kushinda urais?
Binafsi nina amini mengi kama mengi hafai kazi ya urais hata yeye aliwahi kukataa alipoulizwa kama anaitaka urais. Binafsi Naamini hafai kwa sababu nyingine za kijamii zaidi lakini sio hizo za kwako za kukwepa kodi. In fact sijui ni kiongozi gani wa CCM anayelipa kodi kihalali kwenye biashara yake hapa nchini mpaka sasa.you tell me?
Maoni yako nayachukulia kama maoni ya MTU anayetengeneza hoja za Kumchafua bwana mengi.
Kwa hofu zisizo na ukweli.

Na hii ni dalili kuwa hapa unawananga hata hao Takukuru kwa kushindwa kuonyesha ufanisi dhidi ya bwana Mengi.
Kumbuka mengi is just a businesman, sio waziri, mbunge wala rais.
Kuna kitu wanaita public relations. (PR). Hiki ki afanyika kimalengo kama sehemu ya promotion. Kutoa msaada sio kwamba unahela ya kuchezea na kuwapa wafanyakazi wako bali inaweza kuwa njia ya kujijengea heshima kupitia biashara katika jamii.
Nakishauri uwe unaangalia na uhalisia wa mada kabla hujatamka kauli zako. Ambazo unazitoa very sensitive. As if we are dealing with real situation.

Kama kweli katangaza; tumwache watanzania watachambua mchele safi na pumba. Mungu anamjua mkombozi wetu! Hata kwa YESE walichujwa mpaka akapatikana DAUDI.
 
Ukimsimamisha mengi na mpoki kugombea urais,mpoki wa ze komedi anashinda kwa zaidi ya 90%.

Ukimsimamisha mengi na jiwe au mti,mti utashinda kwa asilimia 80,mengi 5,15 zitakua zimeharibika.

Ukimsimamisha mengi na mnyama yoyote kama mbwa,paka,punda,kenge au fisi,mnyama atashinda kwa asilimia 75,mengi 10,zingine zitaharibika.

Ukimsimamisha mengi na wadudu kama nzi,mbu,nge,mbung'o,wadudu watashnda kwa asilimia 65,mengi 25.

Ukimsimamisha mengi na magonjwa kama ukimwi,ebola,mafua ya ndege,bonde la ufa,nguruwe,kifua kikuu,magonjwa yatashnda kwa asilimia 55,mengi 35.

Heri kuishi na ukimwi kuliko mengi kua rais.
100% we ni professor muongo kuliko wote duniani ulitakiwa uwe kenge maji siyo binadam!!
 
Back
Top Bottom