Reginald Mengi kugombea Urais

Reginald Mengi kugombea Urais

Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.

We nyang'au inaonyesha kuna mchaga alikupiga mimba then akakutelekeza, nahisi unatutafutia ban kwanguvu.
 
Taarifa zisizo rasmi zinadai ya kuwa mwenyekiti wa IPP Dkt. Reginald Mengi ana mpango wa kugombea uraisi mwaka huu wa uchaguzi 2015.

Japo haijfahamika wazi kuwa atagombea kupitia chama gani au mgombea binafsi.

Katika kipindi cha hivi karibuni Mengi amekuwa akionekana kuwa mwiba kwa serikali kupitia maneno yake zikiwemo tweets na kupitia vyombo vyake vya habari huku akisisitiza uzalendo na uwajibikaji.

BY: SUPU YA MAWE
Atagombea kama anataka kufilisika.
Mengi siyo political material, ni sana sana mtendaji wa kibiashara.
Hana ushawishi wowote.
 
Habari hizi za kutunga ili kuwaondoa watu kwenye mijadala ya maana.
Mgombea huru kwenye katiba ipi? Hii ya mzee wa vijisenti hairuhusu mgombea huru/binafsi.
 
mengi kiukweli hawezi kuwa rais wa nchi hii kwani hajawahi kupata mkikimiki
 
Mtaani kwangu hakuna mchagga kabisa tena.

Mtaani kwenu kuzimu au?! Unawachukia, ila huna uwezo wa kuwashusha wachaga! Wako juu toka enzi na enzi!!!! Hakuna mtaa wala kitongoji kisichokuwa na mchaga. Muulize JK analifaham hilo. Nakumbuka aliposema, "ukifika mahali TZ hii ukakuta hakuna mchaga, basi hapo hakuna maisha". Kinachokutesa ni wivu tuu.
 
#note ! 1./mtu yeyote awaye,akaweza kujitengenezea maisha pasipo kuiba hela za umma waziwazi wala kukwepa kodi wala kufanya mambo ya hovyo hovyo naye huyo atakuwa ni mtu safi.
2/Naye huyo kwa kuwa ameweza kujimudu bila wizi wala ujambazi na ni mcha wa mungu basi naye AFAA KUWA KIONGOZI WA NCHI YOYOTE DUNIANI,chasema kitabu,basi aminini hivyo ktk yeye!
 
Wewe unapenda siku moja mchagga awe rais?

Wachagga wana shida gani mkuu!? Mbona mnateseka sana na hilo kabila? Nakuhakikishia, kinachowatesa ni wivu kwa wachaga! Uzuri mmoja, hamtaweza kuwashusha manake wapo juu toka enzi na enzi. Ni inborn character, ambayo kila mchaga aliezaliwa uchagani anayo! Starehe kwao ni mwiko, sio kama Mkwere na anasa, tena za watoto wa form ii.....! Hatutamchagua mtu kwa sababu ya kabila lake, lakini hatutaacha kumpa mtu kura kwa sababu ya kabila lake.
 
Mimi nitajiua kabisa

Hapo ulipo umekufa ila hujitambui! Nafikiri huo wakati utakuja kumalizia kufa tuuu! Umeshawaza kuwa watoto wako na wajukuu zako wataishi maisha gani baada ya wewe kuondoka? Kama bado, umekufa tayari......!!!
 
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.
Kwani ww bado raia? Katiba ya Tanzania haiwatambui ninyi diaspora mliozamia na kuolewa/kuoa vibabu/vibibi ili mpate kuishi huko:A S wink::A S wink:
 
Mtaani kwenu kuzimu au?! Unawachukia, ila huna uwezo wa kuwashusha wachaga! Wako juu toka enzi na enzi!!!! Hakuna mtaa wala kitongoji kisichokuwa na mchaga. Muulize JK analifaham hilo. Nakumbuka aliposema, "ukifika mahali TZ hii ukakuta hakuna mchaga, basi hapo hakuna maisha". Kinachokutesa ni wivu tuu.

Nisome tena, Mtaani kwangu hakuna mchagga.
 
Kwani ww bado raia? Katiba ya Tanzania haiwatambui ninyi diaspora mliozamia na kuolewa/kuoa vibabu/vibibi ili mpate kuishi huko:A S wink::A S wink:

Naam, mimi ni Raia wa Tanzania, tena wa Kihistoria kabisa na si wa historia iliyoanzia Rwanda.
 
Back
Top Bottom