dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,829
- 3,733
Sasa nani atatupikia juisi !
juis? nitajie juis zinazotengenezwa na Mengi!
Sasa nani atatupikia juisi !
Kwani ww bado raia? Katiba ya Tanzania haiwatambui ninyi diaspora mliozamia na kuolewa/kuoa vibabu/vibibi ili mpate kuishi huko:A S wink::A S wink:
Urais wa wamiliki wa vyombo vya habari?
Duuh, mimi mwanzoni nilidhani wewe ni MDINI tu, kumbe na kwenye ukabila upo? Angalia siku moja usije ukajikuta "The Hegue", ktk mahakama za "gachacha" au "Arusha".Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.
Naam, mimi ni Raia wa Tanzania, tena wa Kihistoria kabisa na si wa historia iliyoanzia Rwanda.
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.
Taarifa zisizo rasmi zinadai ya kuwa mwenyekiti wa IPP Dkt. Reginald Mengi ana mpango wa kugombea uraisi mwaka huu wa uchaguzi 2015.
Japo haijfahamika wazi kuwa atagombea kupitia chama gani au mgombea binafsi.
Katika kipindi cha hivi karibuni Mengi amekuwa akionekana kuwa mwiba kwa serikali kupitia maneno yake zikiwemo tweets na kupitia vyombo vyake vya habari huku akisisitiza uzalendo na uwajibikaji.
BY: SUPU YA MAWE
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.
Huyu mzee anafaa, na isitoshe tunaitaji mtendaji na si watu wa bla bla, mafisadi kwisha
Ikitokea siku Mchagga akawa Rais wa Tanzania nami nipo hai, ndiyo siku ntaukana uraia wa Tanzania.