hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,625
- 27,440
Awamu hii nimejiona ufinyu wa akili za baadhi ya viongozi wa dini ya kiislamu, ufahamu na uelewa wao ni tatizo kubwa kwa watu ambao wanawaongoza; kwamba RAISI akiwa Muislamu, akifanya makosa asielezwe kwa kigezo cha dini?
WAKRISTO hawajaanza kukosoa leo, TUNDU LISU alipigwa risasi kwenye utawala wa Rais muislamu? Godbless Lema na mwenzie EZEKIA DIBOGO WENJE, walikuwa wakimbizi kwenye utawala wa RAISI muislamu?
Waislamu hawa hawa wamesahau kuwa wakati wa utawala wa Hayati Mkapa, wahadhiri wa kiislamu walizunguka Nchini kusema kuwa, "CCM NI CATHOLIC CHURCH MOVEMENT" lengo ikiwa watu waichague CUF ya IBRAHIMU HARUNA LIPUMBA, na marehemu, MAALIM SEIF SHARIFU HAMAD, kwa sababu wao ni waislamu.
Mpaka Sheikh Mohammed Isa wa SHINYANGA amewahi kutukusanya Pale THAQAAFA Mwanza kueleza mambo hayo.
Wakati DR. WILLBROD SILAA, anagombea kiti cha URAIS, kwa tiketi ya CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) wahadhiri wa kiislamu akiwemo marehemu HUSSEIN MSOPA (SHEIKH SHARIFU MAJINI) walizunguka Nchi nzima kuwahamasisha waislamu wasimpe kura Padre kura, wampe DR. JAKAYA KHALIFANI MRISHO KIKWETE kupitia Chama kile kile ambacho waliikita Catholic church movement, yaani CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) watu hao waliobadili maana halisi ya Chama cha CCM wakageuka tena wema, kisa anayegombea ni muislamu mwenzao.
Mpaka LIPUMBA, akiwa msikitini, pamoja na SHEIKH KUNDECHA, na marehemu, Baswalehe, wakawa na mtazamo wa LIPUMBA kuwa mgonbea wa Waislamu mwaka 2015, ndiyo maana baada ya kuwepo kwa Ukawa, mgombea akawa Hayati EDWARD NGOYAYI LOWASA, LIPUMBA akajiondoa, maana malengo yao hayakutumia.
Sasa mnapokuja kuleta mambo ya Udini, nani mdini? Nchi ni yetu sote, hakuna muislamu, Mkristo wala mpagani, RAIS akifanya makosa akosolewe sio kwa misingi ya DINI, bali KISIASA.
SHEIKH PONDA ISA PONDA, alikuwa na mgogoro sana na Kikwete muislamu mwenzie, huyu hajawahi kuwa mdini, nitampa pongezi RAIS sio kwa sababu ya dini yake, bali kwa kazi njema anayofanya, TUACHE UDINI kwenye mambo ya KITAIFA.
Anaandika Rafiki yangu Abel
WAKRISTO hawajaanza kukosoa leo, TUNDU LISU alipigwa risasi kwenye utawala wa Rais muislamu? Godbless Lema na mwenzie EZEKIA DIBOGO WENJE, walikuwa wakimbizi kwenye utawala wa RAISI muislamu?
Waislamu hawa hawa wamesahau kuwa wakati wa utawala wa Hayati Mkapa, wahadhiri wa kiislamu walizunguka Nchini kusema kuwa, "CCM NI CATHOLIC CHURCH MOVEMENT" lengo ikiwa watu waichague CUF ya IBRAHIMU HARUNA LIPUMBA, na marehemu, MAALIM SEIF SHARIFU HAMAD, kwa sababu wao ni waislamu.
Mpaka Sheikh Mohammed Isa wa SHINYANGA amewahi kutukusanya Pale THAQAAFA Mwanza kueleza mambo hayo.
Wakati DR. WILLBROD SILAA, anagombea kiti cha URAIS, kwa tiketi ya CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) wahadhiri wa kiislamu akiwemo marehemu HUSSEIN MSOPA (SHEIKH SHARIFU MAJINI) walizunguka Nchi nzima kuwahamasisha waislamu wasimpe kura Padre kura, wampe DR. JAKAYA KHALIFANI MRISHO KIKWETE kupitia Chama kile kile ambacho waliikita Catholic church movement, yaani CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) watu hao waliobadili maana halisi ya Chama cha CCM wakageuka tena wema, kisa anayegombea ni muislamu mwenzao.
Mpaka LIPUMBA, akiwa msikitini, pamoja na SHEIKH KUNDECHA, na marehemu, Baswalehe, wakawa na mtazamo wa LIPUMBA kuwa mgonbea wa Waislamu mwaka 2015, ndiyo maana baada ya kuwepo kwa Ukawa, mgombea akawa Hayati EDWARD NGOYAYI LOWASA, LIPUMBA akajiondoa, maana malengo yao hayakutumia.
Sasa mnapokuja kuleta mambo ya Udini, nani mdini? Nchi ni yetu sote, hakuna muislamu, Mkristo wala mpagani, RAIS akifanya makosa akosolewe sio kwa misingi ya DINI, bali KISIASA.
SHEIKH PONDA ISA PONDA, alikuwa na mgogoro sana na Kikwete muislamu mwenzie, huyu hajawahi kuwa mdini, nitampa pongezi RAIS sio kwa sababu ya dini yake, bali kwa kazi njema anayofanya, TUACHE UDINI kwenye mambo ya KITAIFA.
Anaandika Rafiki yangu Abel