Regina Lowassa ni mwanamama wa mfano, mke bora

Regina Lowassa ni mwanamama wa mfano, mke bora

ki ukweli namkubali sana, hata mama salma pia namkubali sana! they are very strong
 
Hakika huyu mama ni jasiri sana,anastahili pongezi!
 
Katika wanawake wanaoongoza kunyanyasika duniani na mfumo dume ni wanawake wa Kimasai.Mwanamke wa kimasai hana sauti kwa mumewe yaani acha tu.Ni wa kuburuzwa tu hana hiari.Uliza mwanamke yeyote wa kimasai akwambie.Huyo mama naomba tu mumuache kama ni mateso aliyopata yanamtosha msimwongezee mengine.Nawaombeni tafadhali.Na naomba nimpe pole ya dhati kwa yote mama Regina LOWASA.Amwachie tu mwenyezi Mungu.
Nani kakuambia ni mmasai? Unajifanya unamjua saaaanaaaa!
 
Watanzania tunapenda sana habari za kutunga. Aliyekuamba Regina ni mmasai ni nani?

Katika wanawake wanaoongoza kunyanyasika duniani na mfumo dume ni wanawake wa Kimasai.Mwanamke wa kimasai hana sauti kwa mumewe yaani acha tu.Ni wa kuburuzwa tu hana hiari.Uliza mwanamke yeyote wa kimasai akwambie.Huyo mama naomba tu mumuache kama ni mateso aliyopata yanamtosha msimwongezee mengine.Nawaombeni tafadhali.Na naomba nimpe pole ya dhati kwa yote mama Regina LOWASA.Amwachie tu mwenyezi Mungu.
 
Mke wa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Ndugu Edward Lowassa ni wa kupigiwa makofi ya pongezi. Yuko na mumewe bega kwa bega. Hamwachi. Ametoka naye huku;akaenda naye kule. Hongera sana Regina Lowassa. Wanamama wa Tanzania mpatecha kujifunza toka kwake.

Ndoa ina mambo yake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam


Mzee Tupatupa ni mwana-ccm wa pekee. Huwa unazungumzia jambo kwa sehemu zote mbili bila kupepesa macho wala ushabiki.
 
Mama mama mamaaa mama huyo mama mama huyo mama 🎵🎶
 

Attachments

  • 1439551013864.jpg
    1439551013864.jpg
    65.5 KB · Views: 368
  • 1439551278499.jpg
    1439551278499.jpg
    62.6 KB · Views: 360
  • 1439551310734.jpg
    1439551310734.jpg
    53.3 KB · Views: 365
Mke wa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Ndugu Edward Lowassa ni wa kupigiwa makofi ya pongezi. Yuko na mumewe bega kwa bega. Hamwachi. Ametoka naye huku;akaenda naye kule. Hongera sana Regina Lowassa. Wanamama wa Tanzania mpatecha kujifunza toka kwake.

Ndoa ina mambo yake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
...nadhani viongozi wengine wana cha kujifunza....haswa dr.Slaa na mkewe Mshumbusi anayemfungia ndani kumzuia asifanye maamuzi....watu huwa wanashindwa kujiuliza kwanini Lowassa anafanikiwa (kama wasemavyo kuwa ana mapesa meengi)....watu wanasahau kuwa kwa kila mwanaume mwenye mafanikio nyuma yake yuko mwanamke....hata JK muulizeni...anamheshimu sana Salma...
 
ukitaka kujua familia yenye mama bora mwenye malezi bora t kama ya Lowassa,we tizama hata watoto wao hawana shobo japo wanatoka familia yenye almost kila kitu ,sio watu wakujisifia ,nakumbuka kuna dadake Fredy alikuwa anafanya kazi hospital ya serikali(daktari) hapo dar es salaam,sikujua yeye ni nani mpaka nilipo kuja kutonywa,alikuwa hana makuu ana muhudumia kila mtu.. lakini tazama watoto wa mr.misifa makeke yao,yule mteja ndo kila siku kigulu na njia kabakiza kuparty tuu hana lingine analo kumbuka
 
mnakumbuka mpaka siku mzee bungeni anahutubia bunge kwa mara ya mwisho kama waziri mkuu na kuachia ngazi,mama alikuwepo na muda wote alikuwa akitokwa machozi...!!!Huu ndio uzao wa Eva ulio bakia duniani
 
Back
Top Bottom