Regina Lowassa ni mwanamama wa mfano, mke bora

Regina Lowassa ni mwanamama wa mfano, mke bora

Mke wa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Ndugu Edward Lowassa ni wa kupigiwa makofi ya pongezi. Yuko na mumewe bega kwa bega. Hamwachi. Ametoka naye huku;akaenda naye kule. Hongera sana Regina Lowassa. Wanamama wa Tanzania mpatecha kujifunza toka kwake.

Ndoa ina mambo yake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mzee wangu angalia nisije nikamwambia Mama...:thinking:

Hongera kwa kumpa sifa zake,kuna mtu aliniambia pia ni Mama mwema mwenye kujitambua.

Cha msingi,Mzee wangu Umepata KURA YA MAONI?Jimbo gani?Au Umekatwa?

Yote tisa kumi tuambie Mbona meli inaendelea kutobolewa?Matundu hayo Nahodha wa Meli yetu haoni kama tunazama?Halafu namna anavyoziba hayo matundu naona kama anayaongeza ukubwa wake?

Tueleze wanachama wa huku mtaa wa kati yaani wale wanaopenda kutafuna UBUYU wakati wote,huko vipi mbona hatuelewi hapo ndiyo mwisho wa lami au bado inaendelea?Maana kuna mzinga wa muamba hapo mbele,nahodha ameuona?

Nipo mtaa wa kati nafuatilia kama nijiandae kuwa Campign Manager wako maana kwa Mtanio kesha tupwa mbali sana....
 
Heshima kwako mama Regy...tunafarijika sana kwa ujasiri na uvumilivu wako.
 
Katika wanawake wanaoongoza kunyanyasika duniani na mfumo dume ni wanawake wa Kimasai.Mwanamke wa kimasai hana sauti kwa mumewe yaani acha tu.Ni wa kuburuzwa tu hana hiari.Uliza mwanamke yeyote wa kimasai akwambie.Huyo mama naomba tu mumuache kama ni mateso aliyopata yanamtosha msimwongezee mengine.Nawaombeni tafadhali.Na naomba nimpe pole ya dhati kwa yote mama Regina LOWASA.Amwachie tu mwenyezi Mungu.

Labda zamani enzi za wazazi wako sio sasa alooo
 
Mzee wangu angalia nisije nikamwambia Mama...:thinking:

Hongera kwa kumpa sifa zake,kuna mtu aliniambia pia ni Mama mwema mwenye kujitambua.

Cha msingi,Mzee wangu Umepata KURA YA MAONI?Jimbo gani?Au Umekatwa?

Yote tisa kumi tuambie Mbona meli inaendelea kutobolewa?Matundu hayo Nahodha wa Meli yetu haoni kama tunazama?Halafu namna anavyoziba hayo matundu naona kama anayaongeza ukubwa wake?

Tueleze wanachama wa huku mtaa wa kati yaani wale wanaopenda kutafuna UBUYU wakati wote,huko vipi mbona hatuelewi hapo ndiyo mwisho wa lami au bado inaendelea?Maana kuna mzinga wa muamba hapo mbele,nahodha ameuona?

Nipo mtaa wa kati nafuatilia kama nijiandae kuwa Campign Manager wako maana kwa Mtanio kesha tupwa mbali sana....

,bado sana meli kuzama tena sana,
mwaka huu baada ya wahuni kuonekana wamekamia ikulu kama vile ni kwenda mbinguni ,wenye akili zao wanajua nani anastahili kuongoza nchi genge la wahuni na wazee wa kubwabwaja hili hali wasijue wanachokiongea wasomi wanaona kama ni aibu kwa wasomi wa nchi hii kamwe shanwe wajinga haizitasaidia ,
 
EL akishinda kwa mara ya kwanza Tanzania inapata 1st Lady wa viwango kusema ukweli
 
Huyu mama ni msomi wa level ya masters ana degree ya kwanza ya uchumi masters alichukua ya DS. Na ana kitabu chake alikitunga na kukizindua sikimbuki title yake. So ni mama anayejielewa na mwenye upeo na si mburura.
 
Labda zamani enzi za wazazi wako sio sasa alooo

mkuu angalia tusi la nyumbu hoja hakuna ,kweli ndo maaana mzee wa mchakamchaka akiiba kwao ni gumzo adi vijiweni,mungu akunyime vyote akupe akili,
 
She is very strong. Nakumbuka sakata la Richmond alikuwa amekaa pale Speakers Gallery akibubujikwa na machozi. Alivumilia mpaka mwisho. Lakini naona machozi yake yatafutwa na atainuliwa na kuwa first Lady.
 
,bado sana meli kuzama tena sana,
mwaka huu baada ya wahuni kuonekana wamekamia ikulu kama vile ni kwenda mbinguni ,wenye akili zao wanajua nani anastahili kuongoza nchi genge la wahuni na wazee wa kubwabwaja hili hali wasijue wanachokiongea wasomi wanaona kama ni aibu kwa wasomi wa nchi hii kamwe shanwe wajinga haizitasaidia ,

Hao unaowaita WAHUNI wenzako ndiyo wanawaona BORA....

JKN alitulea CLEAN Mwinyi Ali HAssan akatoka MCHAFU,Akaingia Mr.Clean Che Nkapa akatoka Mchafu,akaingia JK wakasema Mzelendo,chagua la Mungu ametoka duh huyu ndiyo ana magreace mengi,sasa wanakwambia BORA AINGIE MCHAFU ILI ATOKE MSAFI!!!!!!!!!!!!!!Upoooooooooooooooooo:msela::msela::msela::msela::msela::msela:
 
Back
Top Bottom