Halima Mchuka,ni miongoni mwa Watangazaji walionivutia sana.RIP
Kumbe ndio maana Pasco, nilikuwa nakuona Kanisani Msimbazi,Siku hizo nikiwa nasoma shule ya msingi Na sekondari.Nilikuwa nafurahi kukuona.Ulikuwa unakaa karibu Na Priva Mtema?
details za ajali za nini, Mungu ametoa Mungu ametwaa, unataka kuleta analysis za sababu za vifo kwenye msiba wa Kitanzania? Hapa tunasikitika na kumshukuru Mungu kwa kumuua Regia, kazi yake haina makosa, end of story!Mwenye details za jinsi ajali ilivyotokea, pls!
chekini wall ya mwenyekiti wa bavicha fb
msiba utakuwa Tabata kwa baba yake Mzazi,Taarifa kamili Nenda makao makuu ya CDM kinondonijamani wandg wapi mahali mipango ya mazishi inafanyika kwa watu wa dar???????????????????????????????tunataka kuhudhuria