Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Mmmhhh hii habari imenishutua mno, RIP Regia.

Pole sana kwa ndugu na marafiki, hili ni pigo kubwa kweli kweli. Nimeshindwa kuamini, why Regia?
 
Mbunge wa viti maalum Chadema, Regia Mtema amepata ajali maeneo ya Ruvu Darajani mkoa wa Pwani na kufariki dunia
zaidi msikiliza RTO wa mkoa wa pwani akitoa taarifa kamili
 
Im really feeling down from this incident but really nothing to do now, ........................ ooohhh!!!!
 
regia pumzika jana tumemzika dr kibatala miongoni mwa wazawa wa kilombero na alikuwa daktari jabali wa upasuaji....tulikuwa wote wale muhimbili kumuaga katika safari yake ya mwisho..leo wewe umekwenda.....utaniliza sana regia why did u do this to me....daaah pumzika bana

mkuu post yako inanitoa machozi.
 
I am speecheless! Rest in Peace Regia. Kazi yako na jina lako vimeandikwa kwa wino wa dhahabu. Utadumu milele.
 
whaaaaaat!!!, Ajali, Regia Mtema kafariki: Wizaga come again.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom