Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.

Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.

Habari hizi zimethibitishwa.

R.I.P mh Mbunge
 
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-na-nje-ya-bunge-na-viongozi-wa-chadema.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ya-tangu-niwe-mbunge-shukrani-kwa-wanajf.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...penda-mtu-nisiyemfahamu-sijawahi-kumuona.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...20-ninayempenda-nisiyemjua-kanitolea-nje.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-chadema-jiji-la-mbeya-picha-na-matukio.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-mapya-ya-ubunge-changamoto-zimeongezeka.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/179304-kwa-hili-rostam-aziz-hutasameheka.html


Join Date21st November 2009
Avatar

avatar19983_2.gif


tutakukumbuka sana dada. Mungu akuweke mahali pema peponi. mia
 
Sisi ni wa m'mungu na kwake tutarejea. Hii habari ni kweli na nimeisikia hapa Tumbi hospitali.
 
Habari za mchana wana jf poleni kwa msiba mkubwa wa mpambanaji wetu hon. Regia , lakin akuondoka hiv hiv najua alikuwa na ndoto za kimapinduzi siku zote alituimiza kuwa wapambanaji najua kimwili tupo mbali lakin kiroho bado tupo pamoja, kazi alio iacha inatupasa kuiendeleza kwa juhudi kubwa na bila kuchoka sis tulimpenda ila mungu amempenda zaidi.
 
Kwa kadri ninavyosoma taarifa zinzvyoripotiwa humu nalazimika kuamini,Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya maremu.
Mwanga wa milele umwangazie ee bwana,apumnzike kwa amani,amina!
 
We are all in the same track let's get prepared!
 
Hi ni habari ya kusikitisha sana kwa watanzania woteeeeeee wapenda maendeleo
 
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.

Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.

Habari hizi zimethibitishwa.

May your Soul Rest in Peace Regia.Gone so soon
 
Shocking news of 2012 to me

Nitakumiss sana kamanda, hasa yale madongo!!
 
Rest In Peace Regia!

Kazi nzuri uliyoianzisha Tanzania na JF itaendelea kukua kama ua zuri ulilolipanda kwa upendo mwingi!

Machozi yataendelea kububujika lakini tunaamini Mungu hafanyi makosa!

Tulikupenda, lakini Mungu Amekupenda zaidi!

Ninaamini changamoto ulizozianzisha, na mchango wako kwa Taifa letu utakumbukwa daima!

Ulale kwa Amani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom