Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Ajali za barabarani......ajali za barabarani.....ni uzembe? ni maandiko? au ni ajali?
Hizi ajali zinatumaliza kama kimbunga/ tornado inavyofyeka kijiji, mji.

Wafiwa poleni sana
Regia umerudi kwa bwana. Upumzike kwa amani.

Tunaoomboleza na sote kwa ujumla ni lazima ifike mahali tuseme Ajali nyingi ni matukio ya uzembe na tuchukue hatua kuepuka vifo kwa njia hii.

Barabara zetu zimekuwa kama machinjio ya kuku. Zitatumaliza.
 
RIP Regia Mtema.
Lakini jamani barabara ya Morogoro ni hatari sana labda kwa sababu ya wemba mba na magari kuwa mengi sana. Jana asubuhi kama 12.30 nilikuta dada mmoja kagongwa pale Kimara Bucha. Sijui kama alipona kwanil damu zilikuwa zinamwagika kwa wingi sana.

Serikali iiangalie hali hii badala ya kupanua barabara ya Chalinze Segera iangalie bara bara ya Morogoro kwa ajili ya umuhimu wake kwa taifa na nchi jirani.
 
aisee dunia ni mapito tu jamani dah dah, upumzike kwa amani dada, dah ni ngumu kuamini.
 
Mmmhhh hii habari imenishutua mno, RIP Regia.

Pole sana kwa ndugu na marafiki, hili ni pigo kubwa kweli kweli. Nimeshindwa kuamini, why Regia?
Mkuu hapa kila mtu ametaharuki! Hatuamini kilichotokea! Very Very Big Shock!!!
 
Ndg Zangu it's Sad news to loose a young,enegertic,objective,young Tanzanian Like Mtema ,she was Objective and Honest Young Politician, Nawapa Pole sana Ndg zetu wa Chadema I Still Rember her last Thread here in Jf.poleni sana chadema kwa Msiba hui Poleni Saba wana Morogoro wana Ifakara Mungu ailaze Roho ya Marehem mahali Pema Peponi
 
You have left us tooooooooo sooooon Regia! Your footprints will lead us into the defined destination which you dearly worked for! May the Lord God give you eternal peace in your eternal destinatio!
 
R.I.P Hon Regia Mtema, dunia na hasa vijana tutakukumbuka kwa jitihada zako ndani na nje ya bunge.
 
RIP Regia...sikufahamiana na wewe lakini kwa yaliyoandikwa; Hakika ulikuwa tegemeo la wengi. Pole nyingi kwa familia, pole pia kwa wana JF wote walioguswa na msiba huu! Nawaombea wahanga wote wa ajali, wapate kupona.
 
its hard taking this sorrow inside me! lakini ndo maisha yetu wanadamu mafupi na mauti hayana appointment. Sijui hawa viongozi wanaopanga kutuibia kila siku wana uhakika gani na maisha yao? Anyway inalillah wa inalillah rajiun Mwenyezi akupumzishe kwa raha mpendwa nasi tunakuombea
 
Tunapaswa kushukuru. Kazi ya mungu haina makosa. Nilimwona mara moja katika mdahalo uliondaliwa na star tv. Rip regia
 
So sad, Rest in peace Regia you where such a great politician you will always be remembered
 
R.i.p regia mtema!

Nashauri: Iundwe tume kuchunguza mazingira ya ajali yake, familia, chadema na wanachi walioshudia ajali washirikishwe!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom