Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Mimi mbona siamini???Basi tena kama mungu ameamua kumchukua Regia.
R.I.P Regia. Mungu awape nguvu na uvumilivu ndg na jamaa!!!
 
Bwana alitoa na bwana ametwaa sifa,shukrani na utukufu ni kwako muweza yote unaetuinua tunapojijwaa na kuanguka na alipoangukia Regia ndipo tunapoinukia kuelekea ukombozi wa mtanzania damu yako iwe maji ya kututia nguvu za mapambano sauti yako itaendelea kuwa filimbi ya vita hivi vya ukombozi unalala Regia nasi tutaamka kwa maelfu kuendeleza ukombozi tulitaka ubaki lakini hatukua na nguvu za kukubakisha RIP REGIA ALUTA CONTINUA CHADEMA!
 
Eeh Munyazi Mungu kwa nini waruhusu!!

Tutakukumbuka sana dada Regia,Wasuaso wanalia, Kilimbero wanalia,JF tunalia(hata FF) chadema wanalia na watanzania wanakulilia.Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi Amina
 
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.

Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.

Habari hizi zimethibitishwa.

Rest in peace.
 

Attachments

  • regia+mtema+1.JPG
    regia+mtema+1.JPG
    12.3 KB · Views: 121
Mpaka sasa bado siamini kama ni kweli.? Au kuna mtu mwingine naye anaitwa Regia Mtema yeye ndo kafarika? Hata wala siyo wa chadema.!
 
Hapa ndipo ninapoona umuhimu wa kuwa na vile vitufye vya 'sad'. RIP dada
 
Habari mbaya sana Hii!
Wema hawana maisha!
Pole kwa wafiwa na wana Demokrasia wote!

Mungu ampe pumziko la milele!
 
Pia hapa ndipo ninapoquestion hizi kauli za 'Kazi ya Mungu haina makosa'!
 
Nimethibitisha kwa Mwenyekiti Mh.Mbowe.Hakika hili ni pigo kubwa kuliko maelezo haya, sina njia ya kulizungumzia.Huyu Dada yetu mpiganaji nilikuwa naye ana kwa ana yapata mwezi na siku kadhaa sasa katika moja ya Mikoa ya Nyanda za juu Kusini tukizungumzia mambo makubwa mengi sana.Sikujua kwamba hiyo Dinner pamoja naye ndio ilikuwa tunaagana, kwa kuwa aliondoka kesho yake kuelekea Moshi Machame kujiunga na Viongozi wengine katika Birth day ya Kamanda Mkuu Mh.Mbowe.

MWENYEZI MUNGU ni wa ajabu sana na ndio maana huwa hataki sisi wanadamu tumzoe, kwa kawaida yake anapofunga mlango mmoja hufungua mwingine.Nina hakika kuondoka mapema kiasi hiki kwa Dada yetu Mh.REGIA MTEMA ni kipimo tosha iwapo tunaweza kuthubutu kuvumilia na kukubaliana na machungu hata pale wapendwa wetu wanapoondoka katika umri ambao ndio nguvu kazi yake inahitajika sana.

BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA BWANA LIHIDIMIWE
 
Siku ya leo nimekuwa shocked kama siku nilipopata breaking news za Amina Chifupa. Rip mpambanaji
 
The Good always die young,
Thanx God for giving us a short time with Regia,
Regia you lived your life so well,
you lived a short life, however you achieved a lot,
You fought well, for the benefit of all
We will fondly miss you.
 
Pumzika kwa amani dada,ujasiri wako utazidi kutuongoza.
 
Bwana ametoa,na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe
r.i.p regia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom