Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.
Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.
Habari hizi zimethibitishwa.
Rest in peace.
Max thibitisha hilo tuelewa bana maana habari hizi zinatuchanganya humu JF
Hapa ndipo ninapoona umuhimu wa kuwa na vile vitufye vya 'sad'. RIP dada