Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Mungu wangu! yawezekana mafisadi wamevuka mipaka wanafatilia hata wapinzani ili wachukue nchi kilaini!
 
alikuwa anaovertake gali lingine. alikuwa anaendesha gari aina ya Landcruser t296bfm ambalo ni mali yake. gari imepinduka mala tatu. hakugongana na mtu mwingine bali alishindwa kuicontrol gari na kuingia polini. majeruhi wengine waliokuwa kwenye gari akiwemo mama yake mzazi ni;
:roger abdallah
😛aulina
:simon
:bernedeta
😛eter
raurence. wa saba hajajulikana jina. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. amina.
source itv. Mia
 
"Naipenda sana Kilombero.MUNGU nisaidie nitimize ndoto zangu za kuwatumikia vyema Wananchi wanaoniamini na kunitegemea.Amen"... Maneno yake. Poleni wana Kilombero. Mungu ndiye muweza, na amempenda zaidi yetu. Inna Lilahi wa Inna Ilaihu Rajiun. Tumshukuru Mungu, japo inauma sana.
 
Kweli vizuri havidumu. RIP Hon Regia Mtema. Bwana alitoa bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.
 
Bado nashindwa kuamini ninachokisoma hapa.
Lakini kama ni kweli, ni kazi ya Mungu na haina makosa.
Na kama ni kweli, ninamuombea Mungu Amlaze Mahali Pema.
Na kama sio kweli, uzushi kama huu USIWEPO.
INAUMA!
 
Ni kweli jamani mi pia nimeona ITV dakika chache zilizopita. R.I.P dear Regia
 
My God, juzi was chatting with you! Can't believe this, Gone too soon my lovely sister! Mwanga wa milele ukuangazie na upumnzike kwa amani.Amina
 
Inaniuma sana. Kwani ni jumatano nilikua nachart nae fb pm kuhusu mambo flanflan na maoni wanayokusanya ya matatizo mbalimbali ya wananchi ili wakayasemee Bunge lijalo.
Siamini kwani najua ni jumatatu ya keshokutwa ndo ilikuwa ahadi nionane nae na mwenzangu mmoja.
Hakika ni nuru iliyozimika mbele yangu na vijana wenzangu. Pia ni pigo kubwa kwa chama.
Rest in eternal peace kamanda Regia
 
Aghrrrrrr which is which? Hata kama ni kweli? Zinatumika saa za wapi hapa?! Post hii imewekwa 1250, ikinukuu(?) edition ya Maxence Melo ya 1336... Inazidi kutuchanganya wengine.

mkuu ndio hivyo dada yetu katutoka ..nimempigia mdogo wake kathibitisha ..itv radio onwe wote wameshatangaza..RIP Regia
 
Nimesikia clouds wakithibitisha kutoka kwa RTO pwani.Alikuwa anaovertake roli.R.I.P Regia mtema
 
Ahsante Angel hilo jina ndo linamfaa

Mnawadhalilisha mbwa. Hakuna mbwa x*'yz'å* kama hule dude la nyuma wakati wa uzazi wa punda. Lilizaliwa mtaroni kwa bahati mbaya mama yake akiruka mtaro.


Ni juzi tu amerodhesha kero zetu hapa akiahidi kuzifanyia utafiti na baadae kuzifikisha mjengoni. Kazi ya Mungu haina makosa...,
R.I.P Hon., Mtema
.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom