nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
Chema hakidumu, Mola amlaze panapostahiki.
Kweli mkuu ni taa iliyozimika mapema
Chema hakidumu, Mola amlaze panapostahiki.
Duh!? Inakuwa ngumu kuingia akilini. Machozi yananilenga. Juzi amenipa like mbili! Duh!
RIP dada'angu Regia. Tulipambana pamoja na mapambano tutayaendeleza hadi kieleweke!
Poleni watu wa Kilombero. Mmepoteza jembe! Poleni cdm.
Basi bana, siwezi kusema tena!
alikuwa anaovertake gali lingine. alikuwa anaendesha gari aina ya Landcruser t296bfm ambalo ni mali yake. gari imepinduka mala tatu.
hakugongana na mtu mwingine bali alishindwa kuicontrol gari na kuingia polini. majeruhi wengine waliokuwa kwenye gari akiwemo mama yake mzazi ni;
:roger abdallah
😛aulina
:simon
:bernedeta
😛eter
raurence. wa saba hajajulikana jina. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. amina.
source itv. Mia