Wakishirkiana na mzee magomaAchezeshe Mangungu
Refa mzuri sana huyu, anatoa na bonas ya dakika😂😂Anakupa na nyongeza juu...hahaha
Picha ipi tena?au ile ya CAFCCKusoma hujui hata picha huwezi kutambua
Kibendera awe Mo na Try again
Itakuwa ya CASPicha ipi tena?au ile ya CAFCC
Nyuzi za kufungwa Mashujaa zimekuwa nyingi kushinda za Ubingwa wa kombe la Muungano.Kusoma hujui hata picha huwezi kutambua
Nawaambia kombe pekee Yanga watabeba mwaka huu ni Muungano tuuItakuwa ya CAS
Ubingwa wa Muungano ni mkubwa ndo maana timu kubwa young Africans ameshiriki ila Yanga hii katu haitakuja kucheza shirikisho abadani hayo mashindano yenu ya akina mamaNyuzi za kufungwa Mashujaa zimekuwa nyingi kushinda za Ubingwa wa kombe la Muungano.
Hawa jamaa kweli hamnazo
Wakishirikiana na injinia msomali na priva mwanyaKibendera awe Mo na Try again
Tumefata muongozo wenu Magoma Fc kudhamini marefa kama mnavyodhamini timu 8...Deborah fc mmeanza kuhonga waamuzi
Kombe limedodaa kama uji wa mgonjwaNyuzi za kufungwa Mashujaa zimekuwa nyingi kushinda za Ubingwa wa kombe la Muungano.
Hawa jamaa kweli hamnazo