ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,898
- 36,398
- Thread starter
- #41
Hii Madrid sio Bora kuwa na makombe haifanyi timu iwe Bora MILELESasa utasemaje madrid ni mbovu wakati inaongoza kwa makombe ya uefa na la liga na ndio inajiita club above all, kwahiyo kwa kusema hayo unapingana na ile kauli yenu kwamba yanga ni bora kuliko simba kwa kigezo kwamba ina makombe mengi ya ligi kuliko simba, unasema yanga haitokaa icheze mashindano ya shirikisho wakati kila siku mnatupigia kelele na medali zenu na kusema mshacheza fainali za caf mkiwa na kikosi bora haya simba imefika huko ikiwa na kikosi kibovu hapo mna lipi la kusema
Nimekwambia Yanga hii katu haitakuja kucheza shirikisho abadani hayo mashindano yenu ya UMISETA yaani mashindano ya akina mama, sio hadhi ya Yanga
Hayo mashindano ya shirikisho yajadilini na Coast union Namungo na Biashara united