Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

mistake kubwa tuliyoifanya ni kushindwa ata kufunga goli moja ila mimi na amini nafasi bado tunayo
Hakuna Madrid ya kufunga arsenal goli mbili bila achana na tatu ,arsenal wamefundishika wanacheza vitu vinavyoeleweka nitajie team iliyoifunga arsenal goli tatu msimu 2024/2025 ?mpira una njia zake Madrid ata akicheza mechi kumi Kwa wachezaji wake hawa wakina Madric Babu hawawezi kuifunga arsenal .
 
😀😀😀😀
20250409_061631.jpg
 
Bell jana mapema tu kachoka,ila babu Carlo anamuacha anaendelea...yaan jana tumecheza mpira mbovu pengine kwa msimu huu niya pili ikianza na ile ya Barca,timu haina ubunifu,haina speed na umakini wakufanya marking haupo,ubinafsi eneo la mbele..kiufupi huu msimu kwenye UCL tushatoka,kwa sababu hata hatuna uwezo wakuzuia Arsenal wasipate goal kwa beki zile zakutegeana ila kuna uwezekano wa sisi kukosa magoal kwa sababu yakukosa umakini kule mbele na ubinafsi uliopitiliza na kubwa ni kuwa wachezaji waliwaunderstimate sana Arsenal,ukiangalia magoal yale mawili tumefungwa ni uzembe wa namna yakupanga ukuta na kipa kujiposition.

Na hata baada yakufungwa huon timu ikibadilika namna ya uchezaji.

Kimsingi jana tumefungwa kwa kujitakia.
 
Hakuna miracle kwenye football viungo camavinga touchamen valvede mchukue uefa ,uefa ipi ?na hapo Bado arsenal anawakanda nje ndani ,team haieleweki inacheza mfumo upi watu wanakimbia kimbia kama vibaka.
Huu ndio muda wa kutoa sumu zenu mwilini utumieni vizuri! ila kaa ukijua kua all timer champions ni RMA
 
the likes of Dean Huijsein ambaye anapatikana kwa 42 m tu. perez anamtaka kwa udi na uvumba huyu dogo na sio kukaa na feran mendy. Millitao kila siku hospital kama mjamzito
Militao pancha
 
Kote tunakandwa.

Narudia Carlo timu imemshinda. RM inaondoka mikono mitupu msimu huu. Arsenal anashinda Bernabeu na Barca anatukanda popote pale tunapokutana. This comes from a concerned RM fan.
 
mchezaji kuchukuwa kikombe flani haimaanishi kuwa yeye ni bora, nicolas tagliafico na lisandro martinez wa argentina wana world cup, je wao ni bora kuliko Vini?. tumia akili basi, au free kick za Rice zimekuvuruga?
Kwa kweli zimemvuruga haswaa, kuliko hata kipa wa Madrid,
😂😂😂😂😂
 
Matokeo hayashangazi sana , cha kumlaumu kocha ni kumpanga Alaba , kutomruhusu Vini kucheza full left wing until is too late badala yake mda mwingi amecheza akiwa ndani ,

ukweli ni kwamba Madrid ina tatizo la defence na hasa mid , kwa sasa kwenye mid ni empty kabisa , hakuna link nzuri kati ya attacking na mid , Tchouamen na Cebballos somehow wamesaidia sana miez mitatu iliyopita ila wote kwa sasa ni pancha , Hata Bernabeu sioni comeback yyte , Hakuna Mid ya kusaidia hyo miujiza, Madrid ameaga mashindano , kikubwa hapo ni kubadri kocha na kuuza baadhi ya wachezaji garasa!!! msimu mbaya huu
Matokeo hayashangazi sana , cha kumlaumu kocha ni kumpanga Alaba , kutomruhusu Vini kucheza full left wing until is too late badala yake mda mwingi amecheza akiwa ndani ,

ukweli ni kwamba Madrid ina tatizo la defence na hasa mid , kwa sasa kwenye mid ni empty kabisa , hakuna link nzuri kati ya attacking na mid , Tchouamen na Cebballos somehow wamesaidia sana miez mitatu iliyopita ila wote kwa sasa ni pancha , Hata Bernabeu sioni comeback yyte , Hakuna Mid ya kusaidia hyo miujiza, Madrid ameaga mashindano , kikubwa hapo ni kubadri kocha na kuuza baadhi ya wachezaji garasa!!! msimu mbaya huu

Alaba kwa kweli hakucheza vibaya, na ulitaka acheze nani mwengine? kwa yule kijana hapana, alaba alikuwa always yupo position, yule kijana hupotea kabisa kwenye nafasi.
 
Hakuna miracle kwenye football viungo camavinga touchamen valvede mchukue uefa ,uefa ipi ?na hapo Bado arsenal anawakanda nje ndani ,team haieleweki inacheza mfumo upi watu wanakimbia kimbia kama vibaka.

hilo tatizo hua nalizungumza sana humu ila naishiwa kurushiwa matusi
 
Back
Top Bottom