Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 6,991
- 7,245
Visca Barcabigwa wa uefa msimu anatoka kwa hawa jamaa wa tatu real maddrid psg na inter milan na kama real madrid atatoka inter milan bigwa
Visca Barcabigwa wa uefa msimu anatoka kwa hawa jamaa wa tatu real maddrid psg na inter milan na kama real madrid atatoka inter milan bigwa
🎵🎶Unaota we mkaka, unaota, unaota....🎶🎼bigwa wa uefa msimu anatoka kwa hawa jamaa wa tatu real maddrid psg na inter milan na kama real madrid atatoka inter milan bigwa
Hayo ndo maneno sasa!Kwa mbaaaaaaaali halafu nimechoshwa na Madrid kuchukuwa Uefa kila mwaka
kweli leo wirtz akacheza real madrid embu acha dharau basiNarudia tena, kuna wathenge wanaichezea Real madrid lakini sio levels za madrid kabisa, vichaa kama Tchouameni, Camavinga, Rodrygo, Alaba na wengineo. watu kazi na mafundi kama Florian Wirtz, Alexis MacAllister, Federico Dimarco, Alessandro Bastoni ndio type za kwenda kukichafua pale Berk
haya aresenyooo msindikizaji ndio bigwaHayo ndo maneno sasa!
Ancelloti tulia🤣🤣Narudia tena, kuna wathenge wanaichezea Real madrid lakini sio levels za madrid kabisa, vichaa kama Tchouameni, Camavinga, Rodrygo, Alaba na wengineo. watu kazi na mafundi kama Florian Wirtz, Alexis MacAllister, Federico Dimarco, Alessandro Bastoni ndio type za kwenda kukichafua pale Bernabeu
Hiyo ndiyo furaha yangu.haya aresenyooo msindikizaji ndio bigwa
hamna kutulia apa hii game bado haijaishaAncelloti tulia🤣🤣
wewweee, em rudia hiyo kauli ya mwishoni angalau huenda punda weupe wakaelewaNilidhani nitafurahi mkipigwa, badala yake nimejikuta nasikitika asee. Mmeichafua sana reputation ya Laliga. Team yoyote inayojielewa inanyanyaswa vipi na Arsenal?
Kama kuna mtu amemuona Vinicious akikaba hata mara moja tu, aniwekee video hapa nione. Muda wote mlipokua mnashambuliwa, nilimuona akiwa anatembea tu. Na sio mechi moja au mbili. Endeleeni kumuaminisha yeye ni mchezaji bora duniani, mtavuna mnachopanda.
Kwishney mkuu labda mpate sare mechi ijayohamna kutulia apa hii game bado haijaisha
arisenyo msindikazaji akichukua ubigwa wa uefa msimu najamba samakiHiyo ndiyo furaha yangu.
mistake kubwa tuliyoifanya ni kushindwa ata kufunga goli moja ila mimi na amini nafasi bado tunayoKwishney mkuu labda mpate sare mechi ijayo
kumbe inter milan ni bigwa na siyo bingwa/B]!, hapo sawa nakubaliana na wewebigwa wa uefa msimu anatoka kwa hawa jamaa wa tatu real maddrid psg na inter milan na kama real madrid atatoka inter milan bigwa
vin ana champions leauge mbili hadi apo alipofikia ana tuzo ya mchezaji bora wa FIFA wa mwaka wewe wachezaji wako wa kombe la carabao wamewahi kushinda kitu kwenye mpirawewweee, em rudia hiyo kauli ya mwishoni angalau huenda punda weupe wakaelewa
Andaa kinyeo ipake mafuta kisije kikachanwa na miba ya samaki, right?arisenyo msindikazaji akichukua ubigwa wa uefa msimu najamba samaki
kuna ulazima valverde arudishwe katiMatokeo hayashangazi sana , cha kumlaumu kocha ni kumpanga Alaba , kutomruhusu Vini kucheza full left wing until is too late badala yake mda mwingi amecheza akiwa ndani ,
ukweli ni kwamba Madrid ina tatizo la defence na hasa mid , kwa sasa kwenye mid ni empty kabisa , hakuna link nzuri kati ya attacking na mid , Tchouamen na Cebballos somehow wakesaidia sana miez mitatu iliyopita ila wote kwa sasa ni pancha , Hata Bernabeu sioni comeback yyte , Hakuna Mid ya kusaifia hyo miujiza
Visca!!!Visca Cataluna.
Mes que un club.