United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,596
huna lolote na arisenyo yako wewe hamna chochote kile unachogombania zaidi ya kuwasindikiza wezakoAndaa kinyeo ipake mafuta kisije kikachanwa na miba ya samaki, right?
huna lolote na arisenyo yako wewe hamna chochote kile unachogombania zaidi ya kuwasindikiza wezakoAndaa kinyeo ipake mafuta kisije kikachanwa na miba ya samaki, right?
baba yenu kaenda kuulizia bei yake huyo dogo, ametajiwa 140 million euros, ila bado hajakata tamaa. Kama tchouameni na camavinga wanaichezea madrid, babu modric leo first eleven kabisa, why not kwa florian wirtz?. Au nitajie takataka yeyote pale madrid ambayo ni brilliant over wirtzkweli leo wirtz akacheza real madrid embu acha dharau basi
Ancelloti tulia
usnitajie mimi upuzi uwo uyo camavinga na tchouameni nenda sokoni kaulize bei yake ndio utajua kama nitakataka au wachezajibaba yenu kaenda kuulizia bei yake huyo dogo, ametajiwa 140 million euros, ila bado hajakata tamaa. Kama tchouameni na camavinga wanaichezea madrid, babu modric leo first eleven kabisa, why not kwa florian wirtz?. Au nitajie takataka yeyote pale madrid ambayo ni brilliant over wirtz
mashabaki wa tu timu tudogo mkizifunga timu kubwa huwa mnafanya sherehe mwaka mzima kama mbeba kombe
Furaha yangu ni kuwachakaza real Madrid.huna lolote na arisenyo yako wewe hamna chochote kile unachogombania zaidi ya kuwasindikiza wezako
hata joe gomez na divock origi, mason mount, jorginho, na takataka yenu Fran Garcia nao ni champions league winners pia. Jimie pavard ni world cup winner ambayo vini na LODIRIGO hawana vipi is he the best kuliko vini na takataka rodirigo?vin ana champions leauge mbili hadi apo alipofikia ana tuzo ya mchezaji bora wa FIFA wa mwaka wewe wachezaji wako wa kombe la carabao wamewahi kushinda kitu kwenye mpira
Oya tuma link niiangalie live bhasi.hamna kutulia apa hii game bado haijaisha
aya izo taka taka zako zikina rice na saka ata vikombe vya ndondo tu hawana si bora wakauze vitumba na uji au wewe unaonajehata joe gomez na divock origi, mason mount, jorginho, na takataka yenu Fran Garcia nao ni champions league winners pia. Jimie pavard ni world cup winner ambayo vini na LODIRIGO hawana vipi is he the best kuliko vini na takataka rodirigo?
kichaa kabisa wewe nenda transfer market tuone kama hutorudi mbio mbio, bei ya Florian Wirtz unapata Camavinga wawili. Tchouameni market value yake ni 80 million eurosusnitajie mimi upuzi uwo uyo camavinga na tchouameni nenda sokoni kaulize bei yake ndio utajua kama nitakataka au wachezaji
Well said Papa Perez avunje kibubu atafute watu wa kaziMatokeo hayashangazi sana , cha kumlaumu kocha ni kumpanga Alaba , kutomruhusu Vini kucheza full left wing until is too late badala yake mda mwingi amecheza akiwa ndani ,
ukweli ni kwamba Madrid ina tatizo la defence na hasa mid , kwa sasa kwenye mid ni empty kabisa , hakuna link nzuri kati ya attacking na mid , Tchouamen na Cebballos somehow wamesaidia sana miez mitatu iliyopita ila wote kwa sasa ni pancha , Hata Bernabeu sioni comeback yyte , Hakuna Mid ya kusaidia hyo miujiza, Madrid ameaga mashindano , kikubwa hapo ni kubadri kocha na kuuza baadhi ya wachezaji garasa!!! msimu mbaya huu
Ni kweli mkuu! Kuna vyuma vina gharama ndogo! Tunapata hata 40 Million na wengine wenye potential kwa 25 Millionkichaa kabisa wewe nenda transfer market tuone kama hutorudi mbio mbio, bei ya Florian Wirtz unapata Camavinga wawili. Tchouameni market value yake ni 80 million euros
mchezaji kuchukuwa kikombe flani haimaanishi kuwa yeye ni bora, nicolas tagliafico na lisandro martinez wa argentina wana world cup, je wao ni bora kuliko Vini?. tumia akili basi, au free kick za Rice zimekuvuruga?aya izo taka taka zako zikina rice na saka ata vikombe vya ndondo tu hawana si bora wakauze vitumba na uji au wewe unaonaje
the likes of Dean Huijsein ambaye anapatikana kwa 42 m tu. perez anamtaka kwa udi na uvumba huyu dogo na sio kukaa na feran mendy. Millitao kila siku hospital kama mjamzitoNi kweli mkuu! Kuna vyuma vina gharama ndogo! Tunapata hata 40 Million na wengine wenye potential kwa 25 Million
Kwa hiyo ni dakika ya ngapi huko unapoangaliamechi haijaisha jhii mbuzi wewe