Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,384
- 3,261
Kiungo mwenyewe Ceballos 😂😂😂Yaani unapocheza na timu aina ya Arsenal hutakiwi kabisa kuruhusu Kila mara kiungo wa chini achukue mpira free kabisa na kupeleka mbele kirahisi, sijajua ni maelekezo ya kocha ama Nini, lakini kule mbele walitakiwa wapress kweli kweli. Hutakiwi kabisa kuipa timu kama Arsenal utulivu wa kupiga pasi sahihi Kila wakati, Madrid wafanye michakato tu wa kuimarisha kiungo Chao na beki zao mbili moja ya kati nyingine shavu la kulia, msimu watauanza vizuri.
Team inacheza slow sana halafu bila hata mipango ya kutafuta goli, tunahitaji kiungo sahihi wa kuchezesha team.Kwa hii madrid bora tutolewe na Arsenal ili tujipange na la lliga au copa de Ley...
Huko mbele tutapata aibu tu Hatuna timu ya kuchua uefa.
VamoooooosReal!!Muda unavyozidi kwenda pressure inapanda pressure inashuka,kuna mambo kadhaa ambayo yanaleta ugumu katika mechi hii,katika UCL hatujawahi wafunga hata goal moja hawa arsenal,na pia sasa hivi wanajitahidi katika uzuiaji na kuna mechi dhidi ya city walijaribu kupaki bus na waliweza kwa asilimia kadhaa,sasa huo ndio wasiwasi wangu...sijui itakuwaje leo kwa kwel🤷
Haki...hakika...Vamooooos...Mwenyewe nina presha, ila hatuna budi kukabiliana na hili., dakika 15 za kipindi cha kwanza ndio zitatupatia majibu sahihi!!
##HalaMadrid!!
View attachment 3306623Kikosi ndio hiki...kwa kwel leo tunahitaji sana utimamu mkubwa wa Alaba na Lucas,wapande mbele ila wasijisahau..tunahitaji Valverde katika ubora wake haswa..
Mzee hua habadiliki huyu dakika 15 za mwanzo usishangae madrid kua nyuma ya mpira wakisubori arsenal wakosee.Mwenyewe nina presha, ila hatuna budi kukabiliana na hili., dakika 15 za kipindi cha kwanza ndio zitatupatia majibu sahihi!!
##HalaMadrid!!
Kwa alaba na vasquez hakuna come back hapa tukizubaa tunapigwa nje ndani.
Hii mechi ilikua sio ya kusubori kipindi cha pili inatakiwa kipindi cha kwanza kuwakazia.
Sasa anamuacha Garcia mzuri kwenye kupanda anaanza na alaba.
Plan ya carlo hua ile ile kuua game second half yaani habadirikagi daah.
kwa hiki kikosi Hakuna comeback yyte , vijana hapo mbele najua watajitahd kufunga hata matatu au manne ila hakuna defence ya kuzuia arsenal wasifunge , Alaba hana uwezo wa kumzuia Saka sana sana atasababisha faulo , Vasquez wote tunajua ni uchochoro !!!
Madrid wafukuze kocha
Madrid inatakiwa ashinde kupindi ch Kwanzaa kabla ajawaiwaaNani mwenye uwezo wa kumzuia Saka?