Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

IMG_0620.jpeg
 
Kesho tunahitaji 2000%+ ya wachezaji wetu kujitoa,kuanzia dakika ya kwanza hadi ya mwisho with high accuracy katika kila matukio,ninaona ona Alaba anapigiwa chapuo aanze kushoto,but for me ninapendekeza aanze Fran Garcia mbele ya Alaba,kwa sababu Fran Garcia ana kasi yakupanda mbele nakurudi kwa haraka sana..na kingine kesho hatutaki abiria ndani mule,habar ya watu wanapoteza mpira wanatembea siyo,yaan mechi ya kesho ndio tutajua watu wakuendelea nao msimu ujao au kuacha,siyo unakuwa na wachezaji wengi vijana ila average players...ukiangalia hata ile first leg siyo kuwa tulizidiwa sanaaa technicaly,hapana...kwa sababu goals tumefungwa ni mipira iliyokufa ambayo ukiangalia vizuri ni makosa ya kipa kupanga ukuta wake na yeye kujipanga,goal la tatu ndio ambalo tumefungwa kiufundi na hapo ni kwa sababu beki wanategeana,hakuna anayeongoza wenzake pale nyuma..kule mbele ni kama kila mtu alivyotoka nyumban alikuwa amedhamiria lazima afunge,uchoyo kuanzia mwanzo hadi mwisho.
 
Yaani unapocheza na timu aina ya Arsenal hutakiwi kabisa kuruhusu Kila mara kiungo wa chini achukue mpira free kabisa na kupeleka mbele kirahisi, sijajua ni maelekezo ya kocha ama Nini, lakini kule mbele walitakiwa wapress kweli kweli. Hutakiwi kabisa kuipa timu kama Arsenal utulivu wa kupiga pasi sahihi Kila wakati, Madrid wafanye michakato tu wa kuimarisha kiungo Chao na beki zao mbili moja ya kati nyingine shavu la kulia, msimu watauanza vizuri.
 
Yaani unapocheza na timu aina ya Arsenal hutakiwi kabisa kuruhusu Kila mara kiungo wa chini achukue mpira free kabisa na kupeleka mbele kirahisi, sijajua ni maelekezo ya kocha ama Nini, lakini kule mbele walitakiwa wapress kweli kweli. Hutakiwi kabisa kuipa timu kama Arsenal utulivu wa kupiga pasi sahihi Kila wakati, Madrid wafanye michakato tu wa kuimarisha kiungo Chao na beki zao mbili moja ya kati nyingine shavu la kulia, msimu watauanza vizuri.
Kiungo mwenyewe Ceballos 😂😂😂

Msijali kesho mtafurahi mbona
20240112_125412.jpg
 
Muda unavyozidi kwenda pressure inapanda pressure inashuka,kuna mambo kadhaa ambayo yanaleta ugumu katika mechi hii,katika UCL hatujawahi wafunga hata goal moja hawa arsenal,na pia sasa hivi wanajitahidi katika uzuiaji na kuna mechi dhidi ya city walijaribu kupaki bus na waliweza kwa asilimia kadhaa,sasa huo ndio wasiwasi wangu...sijui itakuwaje leo kwa kwel🤷
 
Muda unavyozidi kwenda pressure inapanda pressure inashuka,kuna mambo kadhaa ambayo yanaleta ugumu katika mechi hii,katika UCL hatujawahi wafunga hata goal moja hawa arsenal,na pia sasa hivi wanajitahidi katika uzuiaji na kuna mechi dhidi ya city walijaribu kupaki bus na waliweza kwa asilimia kadhaa,sasa huo ndio wasiwasi wangu...sijui itakuwaje leo kwa kwel🤷
VamoooooosReal!!
 
View attachment 3306623Kikosi ndio hiki...kwa kwel leo tunahitaji sana utimamu mkubwa wa Alaba na Lucas,wapande mbele ila wasijisahau..tunahitaji Valverde katika ubora wake haswa..

kwa hiki kikosi Hakuna comeback yyte , vijana hapo mbele najua watajitahd kufunga hata matatu au manne ila hakuna defence ya kuzuia arsenal wasifunge , Alaba hana uwezo wa kumzuia Saka sana sana atasababisha faulo , Vasquez wote tunajua ni uchochoro !!!

Madrid wafukuze kocha
 
Kwa alaba na vasquez hakuna come back hapa tukizubaa tunapigwa nje ndani.

Hii mechi ilikua sio ya kusubori kipindi cha pili inatakiwa kipindi cha kwanza kuwakazia.

Sasa anamuacha Garcia mzuri kwenye kupanda anaanza na alaba.

Plan ya carlo hua ile ile kuua game second half yaani habadirikagi daah.
 

Attachments

  • FB_IMG_1744825109668.jpg
    FB_IMG_1744825109668.jpg
    114.6 KB · Views: 17
Kwa alaba na vasquez hakuna come back hapa tukizubaa tunapigwa nje ndani.

Hii mechi ilikua sio ya kusubori kipindi cha pili inatakiwa kipindi cha kwanza kuwakazia.

Sasa anamuacha Garcia mzuri kwenye kupanda anaanza na alaba.

Plan ya carlo hua ile ile kuua game second half yaani habadirikagi daah.

sasa mkuu ulitegemea nani mwengine acheze? Ceballos bado hayupo fit enough to start, Modric mechi iliopita ilimshinda. Hatuna option nyengine zaidi ya kumrejesha Valverde kati.
 
kwa hiki kikosi Hakuna comeback yyte , vijana hapo mbele najua watajitahd kufunga hata matatu au manne ila hakuna defence ya kuzuia arsenal wasifunge , Alaba hana uwezo wa kumzuia Saka sana sana atasababisha faulo , Vasquez wote tunajua ni uchochoro !!!

Madrid wafukuze kocha

Nani mwenye uwezo wa kumzuia Saka?
 
Back
Top Bottom