Hiki kipigo kilikuwa kinakuja tuu...team ina leak magoli kila mechi bwanaManinaaaa...wametuweka...wachezaji utasema wote wazee bhana..
Huu msimu uishe tu,babu carlo atuachie timu,huu uchezaji tukikutana na timu yenye kupiga counter na vijana wenye speed tutakula kuanzia 4 kupanda juu.Tactics za Carlo wakati mwingine huwa zinatuathiri sana, imagine Endrick ni striker ila anacheza chini sana., nini anashindwa kucheza line moja na Mbappe?
Kweli kabisa man, La liga tumeiachia hapa leo., tuna- struggle sana kutengeneza magoli., team inacheza slow, kila kitu kipo ovyo.Huu msimu uishe tu,babu carlo atuachie timu,huu uchezaji tukikutana na timu yenye kupiga counter na vijana wenye speed tutakula kuanzia 4 kupanda juu.
Kwa namna hii tukikutana tena na mtani anatupiga nyingine 5,timu utasema ina wazee wote,wachezaji hawana speed,recovery zero kabisa...mtu anapoteza mpira anashika kiuno,tuna vijana wana umri mdogo ila wote maboss humo ndani,wanamtegemea Velverde ndio awakabie,na huyu Alaba uwezo wake ushashuka mnoo,hawez kunusa hatar ili kufanya marking...zaidi atajifunga...hii mechi ndio ilikuwa inatuweka karibu na ubingwa,ila kwa sasa hapa ishakula kwetu.Hiki kipigo kilikuwa kinakuja tuu...team ina leak magoli kila mechi bwana
Kabisa Kabisa mdau,hapa ndio tumeshadondosha ubingwa wa Ligi,focus iwe kule UCL na Copa de,ila sasa kule mtihani tunao kwa Barca,kote wapo...kwa uchezaji huu tukikutana nao tena wanatuweka 5 tano,huwez kuwa na timu inayocheza hovyo,slow kama vile wameamkia wote club.Kweli kabisa man, La liga tumeiachia hapa leo., tuna- struggle sana kutengeneza magoli., team inacheza slow, kila kitu kipo ovyo.
Leo ligi ya england na hispania zimeamuliwaKwa namna hii tukikutana tena na mtani anatupiga nyingine 5,timu utasema ina wazee wote,wachezaji hawana speed,recovery zero kabisa...mtu anapoteza mpira anashika kiuno,tuna vijana wana umri mdogo ila wote maboss humo ndani,wanamtegemea Velverde ndio awakabie,na huyu Alaba uwezo wake ushashuka mnoo,hawez kunusa hatar ili kufanya marking...zaidi atajifunga...hii mechi ndio ilikuwa inatuweka karibu na ubingwa,ila kwa sasa hapa ishakula kwetu.
Ubingwa ndio basi tena maana Barcelona yupo serious haoneshi dalili za kupoteza mchezo kwa sasa.
Na huko Club Bingwa nimeanza kuingiwa mashaka kuna possibilities za kutolewa na Arsenal.
kila ninapowaambia washkaji zangu maskani hawataki kuniamini,. kwa mfano Tchouameni na Camavinga wanaimbwa sana ila sio quality za Los Blancos kabisa, watoto ambao hawapo serious, walaini kama yule Rodrygo imekuwaje mpaka anaichezea Club of the universe!!?. Fede Valverde is my only pick at real madrid. ANGALIZO msipokuwa makini 11th may tunaweza watia 5 tenaNadhani madrid ina average players wenye majina makubwa pia wachezaji wengi wamedrop kiwango na kauchoyo flani
Wakienda na Mentality kama ya mchezo wa leo! Raphina anawaweka hat trick mapema sanakila ninapowaambia washkaji zangu maskani hawataki kuniamini,. kwa mfano Tchouameni na Camavinga wanaimbwa sana ila sio quality za Los Blancos kabisa, watoto ambao hawapo serious, walaini kama yule Rodrygo imekuwaje mpaka anaichezea Club of the universe!!?. Fede Valverde is my only pick at real madrid. ANGALIZO msipokuwa makini 11th may tunaweza watia 5 tena