Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

🤬🤬🤬mtu unaweza pasua TV...ngoja nkajaribu kutafuta usingizi..ntakutana na matokeo asbh..upumbavu kabisa tunacheza leo...utasema timu imetoka kulala kwa wanawake wanaojiuza bhana...haipandi mbele,hakuna anayeweza punguza hata mchezaji mmoja...a lot of backpasses maninaa..🤬🤬🤬🤬
We sio shabiki wa mpira jaribu mapenzi
 
Rice_0.jpg
 
Mnamkimbiaje Barcelona kirahisi namna hii ,tafuteni wachezaji wakueleweka hawa wakina Jude,chuameni ,valvede,camavinga hakuna mnapofika.Team Kwa sasa hakuna anaye control game ni kukimbia kama kuku wa kienyeji wamefunguliwa
uyo barcelona anaenda wapi wewe unawachukuliaje inter milan mzee walee wa italiano msimu huu fainali wanacheza
 
Nilidhani nitafurahi mkipigwa, badala yake nimejikuta nasikitika asee. Mmeichafua sana reputation ya Laliga. Team yoyote inayojielewa inanyanyaswa vipi na Arsenal?

Kama kuna mtu amemuona Vinicious akikaba hata mara moja tu, aniwekee video hapa nione. Muda wote mlipokua mnashambuliwa, nilimuona akiwa anatembea tu. Na sio mechi moja au mbili. Endeleeni kumuaminisha yeye ni mchezaji bora duniani, mtavuna mnachopanda.
 
Nilidhani nitafurahi mkipigwa, badala yake nimejikuta nasikitika asee. Mmeichafua sana reputation ya Laliga. Team yoyote inayojielewa inanyanyaswa vipi na Arsenal?

Kama kuna mtu amemuona Vinicious akikaba hata mara moja tu, aniwekee video hapa nione. Muda wote mlipokua mnashambuliwa, nilimuona akiwa anatembea tu. Na sio mechi moja au mbili. Endeleeni kumuaminisha yeye ni mchezaji bora duniani, mtavuna mnachopanda.
Endeleeni kumuaminisha yeye ni mchezaji bora duniani, mtavuna mnachopanda😂😂🤣😁.
 
Narudia tena, kuna wathenge wanaichezea Real madrid lakini sio levels za madrid kabisa, vichaa kama Tchouameni, Camavinga, Rodrygo, Alaba na wengineo. watu kazi na mafundi kama Florian Wirtz, Alexis MacAllister, Federico Dimarco, Alessandro Bastoni ndio type za kwenda kukichafua pale Bernabeu
 
Back
Top Bottom