arsenal tunamuondoa robo fainali kwa sababu tatu sababu ya kwanza arsenal hawezi kutufunga zaidi ya goli tatu akijitaidi sana ni goli mbili na pia mechi za hivi karibuni amekua akiruhusu sana magoli cha pili real madrid tuunauwezo mkubwa sana wa ku funga magoli ni ngumu sana kuwazuia hawa watu wanne kukufunga goli vin,rodrygo,mbappe,belligam na diaz msimu huu ata game nyingi tulizopoteza bado tulikua tunaowezo wa kufunga goli ata kama ni moja au mbili pamoja na kwamba tunashida kubwa ya kiulizi msimu huu ila naamini arsenal shughuliake imeisha na shughuli yote inaenda kuishia benarbeue