Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

without Ceballos kuna hatari ushindi wetu ukawa ni sare. Hali ya timu katikati inakatisha tamaa, na Arsenal kati kwa kweli wapo vizuri.
Kwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa, Camavinga, tchou wameshuka bmviwango na hata wakiwa kwenye viwango vyao bmvya juu hakuna kikubwa wacho-offer.
 
Kwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa, Camavinga, tchou wameshuka bmviwango na hata wakiwa kwenye viwango vyao bmvya juu hakuna kikubwa wacho-offer.

Tchou sio tatizo kabisa kwenye timu, ni katika best DM in the world. tatizo letu lipo kwenye CM na AM. Valverde na Belingham hawafanyi majukumu yao vizuri kwenye hizo position. wapo very hardworking ila wanakosa ile intelligence ya ki midfield.
 
Tumerudi kwanye la liga sasa, kikosi hiki hapa cha leo
 

Attachments

  • FB_IMG_1744548032271.jpg
    FB_IMG_1744548032271.jpg
    83.3 KB · Views: 18
Kwa hii madrid bora tutolewe na Arsenal ili tujipange na la lliga au copa de Ley...

Huko mbele tutapata aibu tu Hatuna timu ya kuchua uefa.
 
Kwa hii madrid bora tutolewe na Arsenal ili tujipange na alligator au copa de Ley...

Huko mbele tutapata aibu tu Hatuna timu ya kuchua uefa.

Hakuna ubora kwenye kutolewa, with Ceballos na Tchomein tuatapata balance nzuri katikati, Ila nafasi ya kusonga mbele ni almost 0%. sioni tukitoboa.
 
Back
Top Bottom