Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,557
- 2,597
Kwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa.without Ceballos kuna hatari ushindi wetu ukawa ni sare. Hali ya timu katikati inakatisha tamaa, na Arsenal kati kwa kweli wapo vizuri.
Kwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa.without Ceballos kuna hatari ushindi wetu ukawa ni sare. Hali ya timu katikati inakatisha tamaa, na Arsenal kati kwa kweli wapo vizuri.
Kwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa, Camavinga, tchou wameshuka bmviwango na hata wakiwa kwenye viwango vyao bmvya juu hakuna kikubwa wacho-offer.without Ceballos kuna hatari ushindi wetu ukawa ni sare. Hali ya timu katikati inakatisha tamaa, na Arsenal kati kwa kweli wapo vizuri.
Tupeni TchouKwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa, Camavinga, tchou wameshuka bmviwango na hata wakiwa kwenye viwango vyao bmvya juu hakuna kikubwa wacho-offer.
Kwenye usijili perez asiahau eneo la kiungo kabisa, Camavinga, tchou wameshuka bmviwango na hata wakiwa kwenye viwango vyao bmvya juu hakuna kikubwa wacho-offer.
Duh👿mambo mengine ni ya kipuuzi sana, mechi imeshakuwa ngumu
Hopefully itakuwa chachu ya comeback dhidi ya Arsenal.,
Kwa hii madrid bora tutolewe na Arsenal ili tujipange na alligator au copa de Ley...
Huko mbele tutapata aibu tu Hatuna timu ya kuchua uefa.
Hakuna ubora kwenye kutolewa, with Ceballos na Tchomein tuatapata balance nzuri katikati, Ila nafasi ya kusonga mbele ni almost 0%. sioni tukitoboa.