Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
Mkuu wa mkoa ndio mkubwa
Mambo ya kiungwana yapi?
Kufanya siasa kwenye misiba?
Hahahaha.... Saikolojia za wanachadema kwa sasa zinasumbuliwa balaa.
Lema si mzee wa fujo
kwanini hakuvamia ili aongee na yeye!!
Pole sana kwakuwa Kibendera
Kufanya ubaguzi kwa misingi ya vyama vya siasa sio kufanya siasa?
Alijiona yuko juu ya makamu wa raisi sasa tunasubiri kuona kitakachofuata.Waache kumdhalilisha huyu mama ni kichwa kuliko wao.
Una maana gani kufanya siasa kwenye msiba? Wewe unachoona siasa ni kwa upande mmoja tu? Kuna wabunge wala siyo wa Jimbo lile inasemekana wametajwa,hilo wewe unaita ni mambo ya msiba? Uvyama huu hadi mtu anajitoa ufahamu. Hii nchi ni ya Watanzania ambao wengi wala hivyo vyama vyenu haviwahusu. Kwanza vyama mara nyingi ndivyo vimechangia kutudumaza,bado tunaenda mbele tunarudi palepale! Miaka nenda rudi tunapiga marktime!Mambo ya kiungwana yapi?
Kufanya siasa kwenye misiba?
Hujajibu swali langu unauliza lako juu?
Wengine wanaweza kukuambia kuwa huyo Makamu wa Rais tu kuwa hapo ni kufanya siasa msibani.
Msiba ukishaanza kuwa na viongozi wa siasa kama wasemaji, hauwezi kuepuka siasa.
Watataka wamuone mwanasiasa, badalaya kumsikiliza mfiwa, watataka wamsikilize mwanasiasa.
Mwanasiasa anaondoa focus kwa waliofiwa.
Na wewe umeiamini kauli ya mtoa mada!!Gambo anapewa kiburi na Rais,ndio maana kapata nguvu ya kumdharau Makamu wa Rais.
Lema na mayor ni wafiwa, wameondokewa na wananchi kwenye himaya yao ya uchaguzi. Wanatakiwa wafarijiwe,wabembelezwe,wapepewe. Inashangaza mfiwa anang'ang'ania mic aanze kumwaga sera kwenye msiba wake.
Msibani wanaotakiwa kupewa attention ni wafiwa tu.Una maana gani kufanya siasa kwenye msiba? Wewe unachoona siasa ni kwa upande mmoja tu? Kuna wabunge wala siyo wa Jimbo lile inasemekana wametajwa,hilo wewe unaita ni mambo ya msiba? Uvyama huu hadi mtu anajitoa ufahamu. Hii nchi ni ya Watanzania ambao wengi wala hivyo vyama vyenu haviwahusu. Kwanza vyama mara nyingi ndivyo vimechangia kutudumaza,bado tunaenda mbele tunarudi palepale! Miaka nenda rudi tunapiga marktime!
Hivi Huyo meya au mbunge angeenda kuongea angerudisha Roho za marehemu?
Acheni siasa kwny majonzi
Wapi nimewataja hao? Kwa nini unanitajia majina yao?Kwa hiyo Kinana ni Kiongozi wa kiserikali?Catherine Maige naye ni Waziri wa wizara gani??
Tanzania bila Ubaguzi Inawezekana play your part
Mkuu wa Mkoa anakataa kumtii Makamu wa rais alafu hadharani hizi ni tabia za uke wenza kabisa sio za kuvumiliwa.
Kuna siku Bashite naye aliwawahi kumuagiza huyu mama jukwaani.
CCM inalea vimamba ikidhani ni mijusi soon watamezana hawa.