RC Gambo ameikosea Mamlaka, aondolewe haraka

RC Gambo ameikosea Mamlaka, aondolewe haraka

Kwa hakika anayetafuta political mileage Arusha kwenye msiba hawezi kuwa Lema aliyeshinda uchaguzi kwa kishindo, tena muda mrefu baada ya uchaguzi mkuu kumalizika. Wanaotafuta kick watakuwa walewale wanaotumia mahakama kumkomoa Lema. Sasa wameanza kutumia misiba kama platform ya kumdhalilisha na hata kumuingiza Mbowe bila kujua kwenye mipango yao ovu. But one thing I am sure about is that in all this they are shooting themselves in the foot. Wanafanya chama chao kionekane kama cha kishetani. Wanawaonyesha wana Arusha kwa vitendo kuwa, hata kama Lema siyo kiongozi mzuri sana, lakini angalau ni binadamu mwenzao wa kawaida; siyo jitu katili linaloweza kuwaumiza wenzake ili tu yeye ajifariji kwamba amewakomesha. Kwa watu wa aina hii busara za VP ni usaliti wa kupuuzwa!
 
Ralph Nader, Mmarekani mwanaharakati aliyepata kugombea urais wa Marekani, miaka ya nyuma sana, alichunguza jinsi watu wanavyokufa kwa ajali za magari.

Akagundua kwamba, vifo vingi sana vinavyotokana na ajali za barabarani vingeweza kuzuiwa kama magari yangekuwa na mikanda ambayo watu wanafunga wakipanda (enzi hizo magari yalikuwa hayana mikanda).

Ralph Nader akafanya kampenikubwa sana Marekani kuonyesha jinsi gari likiwa na mkanda na mtu akafunga mkanda, hata kukitokea ajali, nafasi ya mtu kufa au kuumia vibaya inapunguzwa sana na kufunga mkanda.

Makampuni ya magari yakampiga vita.

Hakukubali. Akakusanya watu na kufanya movement kubwa sana.

Mpaka ikapitishwa sheria kwamba magari yote yaliyotengenezwa kuanzia mwaka fulani ni lazima yawe na mikanda ya kufunga watu ili ikitokea ajali watu wasifariki kwa sana.

Leo hii gari kuwa na mkanda ni kitu standard.

Huyu bwana hakusema "ajali hazitakosa kuwepo" akaridhika. Alichunguza ajali zinatokeaje, akajua kwamba, licha ya ukweli kwamba ajali hazitakosa kuwepo, inawezekana kabisa kupunguza vifo vinavyotokana na ajali. Inawezekana kabisa kupunguza idadi ya ajali.

Nilichosema mimi si kwamba tufute ajali zisitokee kabisa, hilo litahitaji ujuzi ambao hatujaufikia bado.

Nilichosemani kwamba, mbona hata hatujiulizi chanzo cha ajalini nini na tunawezaje kudhibiti hizi ajali?

Ukishakubali "ajali zitakuwepo tu" umekubali kushindwa hata kuuliza maswali ya msingi tu kaunagalia jinsi gani ya kupunguza ajali na vifo.

Kwa habari zaidi kuhusu Ralph Nader na kampeni yake iliyopelekea magari kuwa na mikanda soma kitabu kinaitwa "Unsafe At Any Speed"

Here is teh Wiki.

Unsafe at Any Speed - Wikipedia

Thank you.

Tuko pamoja na nakubaliana na wewe kama tu ambavyo nimesema toka mwanzo kwamba hatuwezi kuzuia ajali kabisa isipokuwa tunaweza kupunguza "impacts" ya ajali kama tu precautions flaniflani zitachukuliwa mapema kama kufunga mkanda nk

Na mimi kusema kwamba hatuwezi kuzuia ajali kabisa, sikuwa na maana kwamba, mara itokeapo ajali basi watu wasikae chini kuchunguza Chanzo cha ajali hiyo na kuona kama kuna makosa ya kibinadamu yalisababisha na yana suluhu yake kwa ajili ya kuzuia ajali kama hiyo isitokee tena....

Kiujumla, tunakubaliana wala hakuna tatizo mkubwa !!
 
Back
Top Bottom