RC Gambo ameikosea Mamlaka, aondolewe haraka

RC Gambo ameikosea Mamlaka, aondolewe haraka

Mama Samia baada ya kukataliwa angejiongeza kwa kumpa Lema nafasi kabla ya kuzungumza

au aliogopa kutumbuliwa na kipenzi cha gambo na madereva.

Na hiyo ndiyo ingekuwa funzo kwa Gambo.Lakini mama naye muoga.
 
Aondolewe haraka!!
kweli mnachekesha
hivi huwa hamuoni aibu kudanganyana kila siku!!
Wewe kama nani wakutoa kauli hiyo!!
GAMBO PIGA KAZI WACHANA NA VIBENDERA
Kwa hiyo unamuita Mama Samia Suluhu ni kibendera???

Hivi nyie UVCCM mbona hamna adabu huyu mama kawakosea nini?
 
.Kiki hadi misibani
Mtu mwenye huzuni halilii kuongea msibani kamwe
hawa tunako elekea watakuja kuombea misiba mikubwa itokee kwao
wapate kiki
Hawana sera kwa sasa mkuu. Sera yao kuu ni matukio. Si unajua kukemea ufisadi ndiyo ilikuwa sera yao na ndiyo iliyowabeba na kutambulika kote nchini. Kwa sasa midomo yao kamwe haiwezi kutamka neni FISADI. Sababu kuu ya kutotamka neno hilo bila ya shaka unailewa.
 
Swali la muhimu kabisa, tutadhibiti vipi hizi ajali,silioni.

Ila nani aliitwa kutoa ngonjera na nani hakuitwa naona sana mazungumzo yake.

Inaonyesha jinsi gani jamii yetu inavyojali ngonjera na risala kuliko kutatua matatizo.
Si lazima kila mtu ajadili kilicho akilini mwako huo ni ujinga na upumbavu ambao unao maana hayo ni matukio ndani ya tukio hutaki yajadiliwe?? Hujion wewe ndio kilazaa humu?? Huwezi kujadili tukio moja tuu wakati ndani ya tukio hilo kuna matukio mengine ndio maana katika mziki kila mtu kuna kilicho mvutia ,wengine sauti, wengine melody ,wengine styles ,wengine wanavutiwa na watu waliomo ndani ya mzik nk si lazima kila mtu apende unacho kitaka wewe huo ni ujinga
 
Kwa sababu hao walipewa nafasi ya kuongea.Ukweli unauma mkuu.
Unajua kusoma?

Mimi sioni umuhimu wa mwanasiasa yeyote kuongea katika msiba, labda kama msiba wa mwanasiasa mwenzao na wanaongea kwa kuwa wanamuongelea mtu wa kada yao.

Vinginevyo, msiba wa raia, haitakiwi rais, mbunge, mkuu wa mkoa au mwanasiasa yeyote kuongea.

Wanasiasa wakitaka kuongea wafanye press conference zao. Watoe hotuba zao, kwao, si msibani.

Kwa sababu wakisema maneno msibani, wataugeuza msiba kuwa sehemu ya siasa na hilo litaondoa maana ya msiba ya kufariji waliofiwa. Watu ndiyo wataanza kuongea siasa za vyama.

Sasa hapo sijabagua chama, nimewalundika wanasiasa wote.

Tangu awali.

Nakushangaa unanipa majina ya wanasiasa fulani wa chama fulani kama nimetetea wanasiasa wa chama fulani.

Ndiyo maana nikauliza, unajua kusoma?
 
Ndani ya Sheikh Amri Abeid Arusha. Kuaga miili ya waliofariki kwenye ajali ya basi dogo. Watu 35 wakiwemo wanafunzi 32, walimu 2 na dereva 1 wa Shule ya Lucky Vicent.

Nilikuwa Jukwaa kuu. Karibu na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan. Muda wa salamu za rambirambi ukafika. Wakuu wa kiserikali na kisiasa wakawa wanakaribishwa. Mkaribishaji ni RC Mrisho Gambo wa Arusha. Mwenyeji

Wasaidizi wa Mama Samia wakapata ujumbe mfupi kutoka kwa Mbowe. Wakamletea Mama Samia. Mama Samia akamuagiza mmojawapo amuite RC Gambo ili amuagize jambo. Jambo muhimu la kisiasa na kiserikali. Amri

Mama Samia,Gambo alipokuja, akamuagiza Gambo awaongeze Mbunge Lema na Meya Lazaro kwa watoa salamu za rambirambi. Wakati huo,mzungumzaji alikuwa Ndugu Simbachawene. RC Gambo akatikisa kichwa kumkatalia Mama Samia. Akina Lema hawakuongezwa

Amri ikakataliwa. Mamlaka ikakosewa. Kinachotakiwa sasa ni kumuondoa Gambo kwakuwa Makamu wa Rais,kama taasisi ya pili ya juu nchini,lazima alindiwe heshima yake. Who is RC!?

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Nani atamtoa gambo alipo wakati aliye mteua ndio anavyotaka nchi hii(ccm) wale ni (wapinzani) wawapi ndio waongee na watu waliokosea kuwachagua haha . eti anataka kufuta upinzani kabla ya 2020 .
 
Toeni upuuzi wenu wakufanya siasa katika kila jambo kwani mbowe ni nani mpaka ampangie mkuu wa moa chakufanya.?
Bado mnataka tukuombee??

Kwa unyama huu wa kutuma watoto wamzalilishe Mama Samia bora tu ukajifunza kusali mwenyewe kwakuwa hakuna tena wa kupoteza muda kukuombea.
 
Si lazima kila mtu ajadili kilicho akilini mwako huo ni ujinga na upumbavu ambao unao maana hayo ni matukio ndani ya tukio hutaki yajadiliwe?? Hujion wewe ndio kilazaa humu?? Huwezi kujadili tukio moja tuu wakati ndani ya tukio hilo kuna matukio mengine ndio maana katika mziki kila mtu kuna kilicho mvutia ,wengine sauti, wengine melody ,wengine styles ,wengine wanavutiwa na watu waliomo ndani ya mzik nk si lazima kila mtu apende unacho kitaka wewe huo ni ujinga
Sio lazima kila mtu ajadilikilicho kichwani mwangu, kwa sababu sio kila mtu yuko kichwani mwangu na anajua ninachojua na ndiyo maana nakiweka hapa kijadiliwe.

Na hii ndiyo mana nzima ya forum.

Kamahujajua hilo,hujajua maana ya forum.

Hata wewe si lazima ujadili nilichoandika,ungeweza kukipita tu bila kujadili.

Ila umeamua mwenyewe kujadili nilichoandika kwa kusema sio lazima kila mtu ajadili nilichoandika.

Kwa hivyou shajadili.

Inagwa umejadili kwa ksueama sio lazima kujadili.
 
Nonsense. Mwenye akikli timamu hawezi kukubali Lema aongee hadharani mbele wageni wenye heshima zao.Heshima mbovu aliyoonywsha wakati wa kufungua mradi ule Arusha mbele ya wageni hatujasahau.Yaani huyu bwana Lema kukiwa na wageni anatakiwa afungwe kamba shingoni kisha afungwe kwenye mti mpaka wageni waondoke ndipo afunguliwe


Ndani ya Sheikh Amri Abeid Arusha. Kuaga miili ya waliofariki kwenye ajali ya basi dogo. Watu 35 wakiwemo wanafunzi 32, walimu 2 na dereva 1 wa Shule ya Lucky Vicent.

Nilikuwa Jukwaa kuu. Karibu na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan. Muda wa salamu za rambirambi ukafika. Wakuu wa kiserikali na kisiasa wakawa wanakaribishwa. Mkaribishaji ni RC Mrisho Gambo wa Arusha. Mwenyeji

Wasaidizi wa Mama Samia wakapata ujumbe mfupi kutoka kwa Mbowe. Wakamletea Mama Samia. Mama Samia akamuagiza mmojawapo amuite RC Gambo ili amuagize jambo. Jambo muhimu la kisiasa na kiserikali. Amri

Mama Samia,Gambo alipokuja, akamuagiza Gambo awaongeze Mbunge Lema na Meya Lazaro kwa watoa salamu za rambirambi. Wakati huo,mzungumzaji alikuwa Ndugu Simbachawene. RC Gambo akatikisa kichwa kumkatalia Mama Samia. Akina Lema hawakuongezwa

Amri ikakataliwa. Mamlaka ikakosewa. Kinachotakiwa sasa ni kumuondoa Gambo kwakuwa Makamu wa Rais,kama taasisi ya pili ya juu nchini,lazima alindiwe heshima yake. Who is RC!?

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
 
.Kiki hadi misibani
Mtu mwenye huzuni halilii kuongea msibani kamwe
hawa tunako elekea watakuja kuombea misiba mikubwa itokee kwao
wapate kiki
Hawana sera kwa sasa mkuu. Sera yao kuu ni matukio. Si unajua kukemea ufisadi ndiyo ilikuwa sera yao na ndiyo iliyowabeba na kutambulika kote nchini. Kwa sasa midomo yao kamwe haiwezi kutamka neni FISADI. Sababu kuu ya kutotamka neno hilo bila ya shaka unailewa.
Toeni upuuzi wenu wakufanya siasa katika kila jambo kwani mbowe ni nani mpaka ampangie mkuu wa moa chakufanya.?
Ramli chonganishi hii
Bavicha bana,wewe ulimsikia wakati anamuelekeza Mrisho amuingize Lema?Je kama ndio alikuwa anaelekeza Lema asiongee?
Halafu sio lazima Lema aongee,Mbowe bosi wake ameshaongea inatosha kabisa.
Chadema acheni kutafuta kiki kupitia misiba
Ninyi nyote huwa nawafananisha na kopo la kuchambia kazi yenu ni moja tu kusafisha uchafu matak*ni na kuyaacha mat*ko yakiwa safi. na mnaiweza kazi hiyo hongereni kwa umahiri mkubwa.
 
ILA WATU MNAMAJUNGU BALAA MNATAKA SIASA HADI MSIBANI ACHENI MAMBO YA KIJINGA WATU WANASIKITIKA KUWAPOTEZA NDUGU ZAO WEWE UNASKITIKA LEMA HAKUONGOZWA NA GAMBO DUUU........
 
Mbona sugu na makala mbeya wanaishi vzur sanaaa hawa ma Rc ambao wapo instagram wanatabu sana
Au mbunge wa mikumi professor Joseph Haule wapo poa. Tatizo la watoto wa Arusha na kilimanjaro. Wamejawa na sifa za kipuuzi puuzi tuu. Wanataka kila kitu mashindano. Kama sehemu awajakupa heshima yako unatuliza pumbu zako na kutulia, na sio mashindano mashindano
Awapati mfano kwa Mh. Lowassa kaona kuna fitina zinachezeka amekausha kuliko kuyazua majanga.

Namueshimu sana Mh. Lowassa na Mbowe kwa kugundua fitina za kisiasa na ndio maana washajua maisha yanavyokwenda ndio maana mpaka kesho serikali ina wasi wasi sana na Mh. Lowassa na Mbowe, kwa sababu imewafanyia umafia alafu watu wamekausha

Mh. Mbowe ni mtoto wa mjini sana, angekuwa ndio Lema anapitia kipindi kigumu kama Mbowe angekuwa kashafika mahakamani Kuu za ulaya
 
Upumbavu mtupu ulicho andika na unacho bwabwaja hapa tofauti , ondoa ujinga kichwan kwanza maana hata hujui unasimamia kipi, na ulivyo ju'ha mwenyewe unajiona una hojja kweli kweli kumbe maavi matupu!!. Agghhhhhh ptuuuu!!
Upumbavu zaidi ni wako, kusema kitu upumbavu bila kuonyesha vipi na kwa nini.

Kichaa yeyote anaweza kufanya hivyo.

Kazi ni kuonyesha, upumbavu ni huu, uko hapa, kwa sababu hii, kwa mantiki hii, kwa minajili hii, kwa mintaarafu hii, dawa yake hii, utauondoa hivi.

Sasa wewe ukimaka upumbavu upumbavu tu wewe ndiye unakuwa mpimbavu zaidi.
 
Back
Top Bottom